Jamani mimi nilipeleka application siku tatu kabla ya
deadline lakini application yangu ilikuwa ya 982 kwa post moja
Kweli hapa kuna uwezekano hata jina langu kufikiwa?
\vipi kuna mwenye...
jamani mimi ni mwanafunzi,malengo yangu nije nisome shahada ya PUBLIC RELATION AND ADVERTISING bt sijajua exctly ukiachana na uhusiano je oppotunity gan nyengne unaweza ukafit.
jamani nisaidieni kupata kazi
sociology degree holder specialize in Health and Population studies,nimeshafanya kazi za research na pia assistant in registrar's office and administration as well...
Wakuu leo nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna nafasi za kazi Rwanda. Kama kuna mtu ana details za kina kuhusiana na nafasi hizo naomba atujuze please! Tanzania is boring dry pasture!
mimi ni mwalimu wa history na geography nimewahi kufundisha shule 2.nikaingia kampuni ya cm kwa miaka 2,sasa kampuni imeuzwa natafuta kazi yoyote.nina diploma ya elimu najua computer.uzoefu huduma...
Nina uwezo mkubwa na wa hali ya juu wa kufundisha b.maths kwa o.level. Natafuta kaz ya kufundisha popote. Nimeshafundisha kwa miaka 2 na kupata mafanikio makubwa hasa NECTA 2010. A= 1. B= 13, C=...
ARUSHA TECHNICAL COLLEGE
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
Arusha Technical College (ATC) is an autonomous Institution established by the Government Notice No. 78 of 30th March 2007 that replaced the...
Tupo mtaa wa congo na somali kipande. Ndani ya duka la mchina.Qulity Alminium profile.
Tunafanya.
Office partition.
Door fiting.
Windo fiting.
Na, Ainazote za Displaing,show case.
Beizetu ni...
We need some experienced HTML / CSS programmers. We have some projects and are looking for some good guys(freelancers) to work with, if you are interested about this please contact us through...
wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu hizi nafasi tulizoziomba tupeane taarifa.kazi njema wakuu