Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Click on the links below: KaziLink.: Country Accountant- Tanzania. KaziLink.: Sales Engineer. KaziLink.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TANGAZO LA KAZI Tunahitaji vijana wawili tu wenye sifa zifuatazo; Awe muaminifu Awe mchapa kazi Awe na ujuzi wa fani ya usimamizi wa biashara au fani ya Uhasibu. Tuwasiliane kwa njia zifuatazo...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Kwa kazi mpya Tanzania tafadhali bofya hapo chini. KaziLink.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Bofya Hapo wanaJF. KaziLink.: TRAINEE- LICENCED AIRCRAFT MAINTENANCE ENGINEER (10POSTS) 5 FOR AVIONIC & 5 FOR MECHANICAL.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunafanya, office patition. Windo fitting. Doorfitting. pamoja na displayshowcas za madukani na mahotelini, bei ni maelewano, SIM..0652394427. kwakua wana jf,woteni kama ndugu basi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta kazi ya civil engineer part time in dar. nina uzoefu kwenye miradi ya maji, nyumba na barabara. tafadhali kama kuna mtu anajua kampuni inayotafuta engineer anijulishe
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajameni,nilibahatka kufanya fild kwenye ofic moja ya tra huku mkoan,nimegundua mishahara ya hawa jamaa mbona ni ya kawaida sana kulinganisha na maendeleo walonayo..nin cha zaidi wanachokifanyaga...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu anaejua mahali office za hawa jamaa wa NHIF (The Natinal Health Insurance Fund) naomba anisaidie kunielekeza
0 Reactions
12 Replies
16K Views
Kutoka UN BOYFYA HAPO CHINI. KaziLink.: Tanzania Country Director.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bofya hapo chini wapendwa. KaziLink.: National Distribution Manager.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
wakuu hebu nisaidieni title ya hiyo temporary employee ya NHIF coz nmetafuta gazet la daily news la tar19 nmekosa....nsaidieni niaaply maana mtaa si mzuri hata kidogo....pliz pliz mwny msaaada
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Natafuta kazi ya kufunisha somo la Hisabati (B. Maths). Nipo vzr na nimepata mafnikio makubwa ktk kufundisha kwangu miaka 2 ktk shule hii. Nahtaji kuwasaidia vijana wenzangu ktk somo hili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi kuna mtu ambaye ameshafanyiwa interview, ameshaitwa kuanza hii program. Kwangu mimi wiki mbili walizodai nisubiri zimeshakwisha, na kila ninayemuuliza{ninaowafahamu} wanadai hawajaitwa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta mtu/watu wa kuingia nao ubia kwenye kamapuni yangu ya usafirishaji inaitwa Smart town trans. Is the big and win win business kwa maelezo/mawasiliano 0713-810857
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani mi siku hizi nashangaa sana, hivi kumbe kazi ni ishu kiasi hiki? Yaani hakuna uhusiano wa nafasi za kazi na watu wanaotakiwa kufanyiwa usaili. Mfano PSPF walitoa nafasi 8 za nafasi ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Plus finance company Limited deals with Business consultations including business consultancy itself, writing bankable business plan, writing various proposals (business and for non-profit...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani kwa wale walioomba nafasi za Audit pale TPA,tafadhali futa katika list ya matumaini kwani tayari wameshaita na wamefanya interview alhamisi iliyopita,poleni kwa waliokosa na hongereni kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
msaada jamani kuna msicha ana umri wa miaka 25. elimu darasa la saba. anatafuta kazi za nyumbani (housegirl) . ila isiwe kazi ya kulala kwa mwajiri ni yakwenda asubuhi na kurudi jioni. kuanzia j3...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nisaidieni wadau nipate walau kibarua cha muda kuhusiana na mambo ya environment...nime graduate this year!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mhhhh jaman panel watu 21,nafasi internal auditor na assistant auditor.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom