Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Ndugu zangu watafuta kazi kama mimi, leo nimekutana na nafasi za kazi kibao za VETA, Fungua tovuti yao hapa chini VETA -- Vocational Education and Training Authority --
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Jamani watanzania wenzangu mlioko tanzania na mlioko nje yatanzania na wapenda wote nanitafarijika pale nitasikia mmoja wenu amepata kazi kupitia matangazo ya kazi za UN ninayo nyweka hapa katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu hapo chini bofya!!Niya WFP http://i-recruitment.wfp.org/olcv/FileReqDesc?reqcode=11-0011841 KAZI NYINGINE HII HAPA YA WHO. VACANCY NOTICE THE OFFICE OF THE WHO REPRESENTATIVE IN...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu wana JF, heshima kwenu woteeee! Naomba mwongozo wenu juu ya tatizo langu. Mimi ni mfanyakazi serikalini (mwalimu wa shule ya msingi - TGTS E, cheo changu ni Afisa Elimu daraja la kwanza...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
TIC walitoa vacancies,vp update,wameshaita watu? If yes gazeti gani na la lini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tra
TRA waliitalini watu 4 interview.....na gazeti gani walitoa names za waliokua short listed? Tafadhali mnijuze...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimechoka kukaa mtaani. Maisha magumu na ajira hazipatikani.
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu wana Jf, Naomba kufahamishwa kwa mtu mwenye taarifa zozote zile kuhusu hizi nafasi za kazi zilizotangazwa SAUT, kulikuwa na nafasi nyingi tu lakini sijawahi kuona au kusikia watu kuitwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
any updates
0 Reactions
5 Replies
4K Views
INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA ENEO LA KITAASISI LAUZWA -KIMARA A plot -7822M2with title deed,situated at Kimara-Golan/Temboni Area, registered...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo temeke yombo,ina vyumba vitatu vya kulala ,siiting room,dinning choo cha ndani ,choo cha nje,fensi,sintank ya maji bomba la maji bei milioni 45 maelewano yapo,mawailiano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi ni mwanafunzi wa 4m 4 kibaha sec.ninatarajia kuhitimu mwezi wa 10.pia ninatarajia kujiunga na technical college na sio A-level,hivyo kwenda tena kusoma ni mpaka mwezi wa 9 mwakani.tatizo ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kila unaposoma post za watu kilio chetu kinafanana.......ajira.....ajira....ajira.... Lakini wana jf mi nadhani tumekuwa wabinafsi sana na hatutaki kushirikiana,ni ukweli kwamba hatuna mitaji...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau kwa mwenye uwezo anisaidie jinsi maswali ya NAO kwa upande wa computer huwa wanauliza maswali ya aina gani.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Accountants/logistics/auditor (44) Administation (2) Administation/Management (20) Administation/Management/HR (114) Administration/Management (1) Agriculture (5) Articles (3) Arusha (11)...
1 Reactions
5 Replies
10K Views
Jamani tetesi crdb vipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Muhitimu wa degree ya Computer Science na Computer Engineering ,kwa serikalini mshahara wake ni kiasi gani au una range ipi!!I mean umeajiriwa kama Network Administrator,System Analyst au...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta tenda maofficeni, na hata kwa watubinafsi, Taluma:- ninafanya, office patition. door fiting. Windofiting. Na showcase desner. Napatikana mtaa wa somali kipande na congo kwenye duka la...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani Baada ya ajali ya Meli iliyoua ndugu zetu, jamaa zetu na marafiki zetu zanzibar nimekuwa nikifikiria sana kuhusu ajali, moja ya fikra zilizonijia ni kuhusu maisha ya watanzania kupotea ktk...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta tenda maofficeni, na hata kwa watubinafsi, Taluma:- ninafanya, office patition. door fiting. Windofiting. Na showcase desner. Napatikana mtaa wa somali kipande na congo kwenye duka la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom