Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

naitaji kazi ya kudesign website pia PC maintenance, system administrator email yangu ni mwaisrael@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama una uhakika ndio uchangie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama mtu anainformation yoyote niliapply post ya adminstrative assistant!!,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamii naomba kujuzwa nafasi za kazi ya ualimu katika shule za serikali kwa wale waliomaliza stashahada ya kwanza ni lini?
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wadau nimeona niwape habari kwa yeyote mwenye mpango wa kunua gari, nadhani ni gari nzuri na bei nzuri pia It’s for immediate sale 2000 Toyota Rav 4 J It’s a VVT- I engine, KM 1000330 Engine...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
tafadhali ndugu zanguni nahitaji msaada wa ajira kwani nimemaliza form 4 ila sina professional yoyote tafadhali. Nisaidieni tafadhali
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari za leo wana JF. Jamani jaribuni bahati zenu katika hii scholarship daedline 21/10/2011. Link ni hizi hapa Sholarship details 2011-2012 Executive MBA Scholarships at Nottingham Business...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je wewe ni Computer Programmer? Nafasi mbili za kazi hizi hapa. Nitaandika kwa lugha ya nyumbani. Kampuni ya E-Fulusi Africa (T) Ltd iliyopo Dar Es Salaam, imebobea katika nyanja za kutengeza...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Amezaliwa mwaka 1988,na ndio tu kamaliza UDOM.He is a very intelligent and well focused young man.Yeyote anayemuhitaji awasiliane na mimi through JF.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wenye sifa zao waombe. Link hii hapa Job Vacancies in United Nations and International Organizations
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wakuu mimi nilikua nauliza ivi mtu anayesomea degree ya insurance and risk management au mtu anayesomea procurement and logistic management ni yup anaeweza kupata ajira/kazi itakayo m-boost ili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania mlioko Tanzania na kwingineko nawaomba kazi hizi nikwa ajili yenu tumeni maombi msiogopetusiwaachie wanaigeria na watu wa west africa tu jiteteeni inashangaza ukienda nje...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wana jf, mwenye dili la kazi somewhere, my sisy kamaliza udsm -sociology mwaka jana. Kazi ngumu! Msaada tutan
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Assistant lecturer in accountacy and finance - nafasi 3 (Bachelor in acc/fin >=3.5GPA + Master's in acc/fin >=4.0 GPA) Principle human resource officer - nafasi 1 (>3 years experince a PHRO)...
0 Reactions
10 Replies
13K Views
Wakuu nimesikia SUA wametangaza nafasi nyingi za kazi wiki iliyopita. Nani ana taarifa na hili tangazo atusaidie full information.
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Interview ya Pili tarehe 20 09 2011 .watu mia tatu,wameitwa, source daily news ya leo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wenye kuifahamu GABON naomba mnihelewesha kuhusu nchi hiyo na mazingira ya kazi kwa wageni.nsje nkaingia choo cha kike
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tarehe 22/08/2011 kwenye gazeti la Daily news Kuna nafas zimetangazwa SHIKITA. lakini cha ajabu ukienda kwenye website yao wanakwambia ulipe elfu 20. Applicants are supposed to pay a non a...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
wanajamii, naomba kuuliza wapi anaweza kupatikana msichana wa kazi za ndani (housegirl/housemaid). mfanyakazi aliyepo anakaribia kumaliza mkataba wake na ameamua kutoendelea na mkataba kwa sababu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
  • Closed
SECTION A 1.Is the African continent a continent or country?if it's continent,what is the name of this continent?(10 marks) 2.who is the president of Tanzania?a)kikwete (b)bush (c)i dont know...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…