Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Naomba mnijuze baada ya interview vipi wameshaanza kuita watu kazini
0 Reactions
13 Replies
2K Views
UNAHITAJI KUJUA BEI ZA BIDHAA SHINYANGA? UNAHITAJI TENDA SHINYANGA? UNAHITAJI KUJUA BEI YA PAMBA,MIFUGO MSIMU HUU? MATUKIO SHINYANGA? USAFIRI? DILI MPYA SHINYANGA? VISIT. EVERTHING IN SHINYANGA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hi jf, jamani mm nina bachelor ya wanyama (livestock), je kuna m2 anaweza kunisaidia sehemu nitakayopata ajira iwe private organisation popote nndani na nje ya nchi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
PSPF walitoa vacancy za admnistrators vp zimefikia wapi nw mbona kimya?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ajira binafsi siku hizi zinamatatizo kweli, muda waprobation umekuwa mrefu mno hadi miezi nane, mkataba umestate baada ya probation utaongezwa mshahara ila ukidai vitisho na hadithi zisizokuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuitwa kwenye usaili watu zaidi ya 5000 kwa post 100 je kuna uhalali hapo?au ni kutaka kuwasubua abiria ambao hata nauli ya kuhadhuria huo usaili wanakopa,Tume inatakiwa ifanye kazi kiumakini na...
0 Reactions
34 Replies
12K Views
Looking a job in the fields of Information Technology or Auditing. Please post links and companies looking for people to work in these fields in Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hamjambo wakuu!ni post yangu ya kwanza kabisa humu JF.naelekea mwaka wangu wa 3 wa shahada ya pROCUREMENT AND LOGISTICS MANAGEMENT.huenda nisimalize vema kwa kukosa ada.nahtaji kufanya part time...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf mimi ni Mwalimu wa Geography na History kwa College, A-level na O'level. Naomba mnisaidie kupata kazi. Nimendika maombi mashuleni mpaka basi, akuna chochote. I have a Bachellor of...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ni mtanzania ninayeishi hapa Dar es salaam, napenda kuchukua nafasi hii kuweza kutafuta kazi katika mashirika ya kijamii, asasi za kiraia na taasisi za kijamii ambazo hujihusisha na maendelea ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Solved.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hi! Nina diploma ya computer engineering toka MIST mby. nimepitia course ya CCNA natafuta kazi. Msaada wenu unahitajika wana JF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wa jf naomba mnijuze zile nafasi nyingi sana zilitangazwa na utumishi mwezi wa kumi mwaka jana zimeishia wapi? mi niliomba nafasi ya mtendaji sasa naona kimyaaa kingi sana
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani wana jf yeyote anayejua kuhusu FINCA naomba msaada kama wameshaanza kuita watu kwenye interview mana nimeapply ila cjapata feedback yeyote ile.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamaani vp CHRISTIAN SOCIAL SERVICES COMMISSION mishahara yao
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nilipata taarifa kwamba watu wanaoanza kazi Whitesands hotel kama trainees wanalipwa sh 8,000/= sikuamini, nikafunga safari hadi hotelini, baada ya UCHUNGUZI wangu wa kina ninathibitsha kwamba...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Tulifanya interview pale kigoma kwa post ya Administrative and Finance Assistant Officer, lakin hadi leo "kimyaa", aliye na habar nayo atujuze. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nilikuwa nasikia tu kuhusu ajira za kujuana ktk sekta ya maliasili km TANAPA, NGORONGORO, WIZARANI nk, sasa naanza kuamini kwani tangu nimeanza kusoma wildlife mwaka wa kwanza mpaka sasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau kataka fatilia yangu nimeambiwa matokeo ya national audit yatatoka muda wowote from now nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kiukweli maisha mtaani ni magumu sana tena hasa ukiwa huna kazi. msaada wenu tafadhari ni wa muhimu sana kwangu wana jf....natafuta kazi ya public relation...nina bachelor degree in mass...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom