Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Habari wanajamii! Naomba kwa anaefahamu range za Mishahara kwenye Nafasi ya Program Officer kwenye NGO inayoitwa Pathfinder International! Nimeitwa kwenye Interview wiki ijayo! Thanks very much...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kuna nafasi za kazi www.kashwasa.or.tz
0 Reactions
1 Replies
4K Views
kama kuna mdau anajua habari yoyote kuhusu usaili tuliofanya wa national audit matokeo nyake wanatoa lini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza matokea ya national audit tuliofanya tarehe 27 july yanatoka lini ?kwa mwenye kujua nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Six Interview MistakesBy Michael Neece, Monster Contributing Writer It's tough to avoid typical interview traps if you're unsure what they are. Here are six to watch out for. 1. Confusing an...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Senior Accountant (DSM) Category: Accountancy, Finance & Insurance Location: Dar es Salaam, Tanzania Employment Type: Full-Time Summary: People Power...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jobs and Vacancies Send to a friend DEPUTY GENERAL MANAGER Qualification: University degree plus ACII or FCII Apply: Tanzania Insurance...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Natafuta kibarua,nimetembeza CV mpaka viatu vimeisha sole.nimesoma law UDSM,ni male,nina umri wa miaka 27.Naweza fanya kibarua chochote chenye mshahara wa angalau 400000 kwa mwezi.nisaidieni kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Natafuta mtumishi wa kazi za ndani mwenye jinsi ya kike. sijawahi kuwa na mtumishi yeyeto wala sina uzoefu wa watu hao hivyo yeyote mwenye mawazo ya kumpata mtumishi mzuri please msaada.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nilikuwa kwenye usahili kwenye shirika moja hivi, nikaulizwa maswali haya "have you ever cheat any one? na have you steal anything in your life? nilishindwa nijibu nini kwani sikujua wanataka nini
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada wa nafasi ya kazi kwenye shirika au taasisi yeyote ile,elimu yangu ni A-level(form six) pia nina experience sales representative na credit officer,e-mail yangu ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KENYAN JOBS & VACANCIES AND CAREER ADVICE: Al Jazeera Kiswahili Channel MD, News & Programs Director, Finance Director, Tech & Ops Director, Online Manager, Project Manager and HR Manager Job...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
This job focuses on the creation of operating software, such and complex network software. Prospective software engineers earn an average of $85,000.00 per year. APPLY NOW
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://graduatecareers.blogspot.com/2011/08/al-jazeera-kiswahili-channel-md-news.html www.aljazeerakiswahili.com/recruitment
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu, napenda kujua kama ni kweli NGOs zinazotoka bara la Ulaya kama Netherland, Uswiss,UK ni bora sana kwa kuwajali wafanyakazi wake kimaslahi kuliko NGos kutoka Marekani ambazo zingi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF! Kwa kifupi nimemaliza mwezi July pale UDSM. Nimesoma <Bachelor of Commerce in information & material management>. Yeyote mwenye taharifa/anayeza kunisaidia kupata hiyo sehemu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Open attachment ................ for your review!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
HELLO J.F, CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM), WAMETANGAZA NAFASI NYINGI SANA ZA KAZI KWA ADMINISTRATIVE STAFFS. SOURCE NI GAZETI LA DAILY NEWS TAR. 27 JULY 2011. DEADLINE NI TAR 10. AUGUST 2011...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Wadau naomba kuuliza matokea ya national audit&nbsp; tuliofanya tarehe 27 july yanatoka lini ?kwa mwenye kujua nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu, natamani kufanya kazi katika mataifa ya Sudani na alfghanistani katika nyanja za Mazingira na Kilimo. Ningependa kujua kama kunamtua anafanya kazi huko au aliwahi kufanya kazi huko kupitia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom