Stories of Change 2021

Shindano la Kwanza - All thematic areas allowed

JF Prefixes:

31 Votes
Fursa maana yake ulione tatizo na utafute njia za kulitatua huku ukitengeneza pesa. Ndio maana watu wengi ushindwa kuziona fursa maana hawapendi kutatua matatizo. Daktari anatibu mgonjwa na...
15 Reactions
57 Replies
7K Views
Upvote 31
5 Votes
Kuna kila sababu ya kupitiwa upya kwa mfumo wa elimu unaowandaa wahitimu kuingia kazini ili kuepuka makosa yanayojitokeza wakati wa maombi ya kazi na kuwaandaa kisaikolojia kujiajiri wenyewe. Pia...
5 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 5
0 Votes
Miundombinu ya usafiri na usafirishaji inajumuisha njia zote za usafiri na usafirishaji kama vile barabara, reli, anga na usafiri wa njia ya maji(bahari, maziwa na mito na mabwawa). Miundombinu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 0
3 Votes
Pamoja na kuongezeka kukubwa kwa wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu, vyuo vyingi vikuu vya Kiafrika havitoi wahitimu wengi, na wengi wao hawana stadi zinazohitajiwa kuinua maendeleo ya kiuchumi...
3 Reactions
0 Replies
814 Views
Upvote 3
2 Votes
Jinsi timu ya Yanga inavyoweza kutengeneza mabilioni ya shilingi ndani ya msimu mmoja.
1 Reactions
0 Replies
769 Views
Upvote 2
22 Votes
Kwanza Mimi niseme Mimi sio mwizi wala sifanyi biashara haramu ya aina yeyote nitakayoyaandika hapa ni yale nimekutana nayo kwa kuona kwa macho au kwa kutumia mashahidi. Niende moja kwa moja...
15 Reactions
31 Replies
4K Views
Upvote 22
1 Vote
NGUVU YA BAADHI YA MAMBO KATIKA SHUGHULI ZA KIUCHUMI Nitaeleza ni nguvu gani iliyo ndani Ya baadhi ya mambo kwa wewe unaesoma nakala hii ambayo unaweza kuitumia katika Nyanja ya uchumi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
3 Votes
Katika Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2021/22 Serikali imedhamiria kukusanya mapato kutoka kwenye tozo za miamala ya simu, Tozo hizi ambazo katika macho ya watanzania wengi zinaonekana...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 3
1 Vote
Wapendwa salam, amani iwe kwenu. Mwaka 2007 nilitamani sana kuwa kiongozi mahali fulani.Nikiri kuwa ndani ya nafsi yangu kwa dhati nilidhamiria kuitenda kazi ile kwa bidii,uaminifu na moyo wa...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Upvote 1
1 Vote
UTANGULIZI. Mazingira ni nyenzo muhimu sana katika Maisha ya Mwanadam hasa ikichukuliwa kwamba kila kiumbe chenye uhai hutegemea Mazingira (asili) ikiwemo udongo, maji na hewa. Hii yote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
MHIMILI MMOJA KATI YA MITATU UKIWA DHAIFU MZIGO NI KWA WANYONGE. Na Nkurumah wa Karne ya 21. Mkichagua hovyo hovyo mtapata viongozi wa hovyo hovyo, watawaongoza hovyo hovyo, mtaishi hovyo hovyo...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Upvote 2
1 Vote
Pause: "Neighbour, the times they are a-changin'..." __We need a revolution in numeracy, now! If there are no qualified Maths teachers at your childrens' school, don’t complain... Get together...
0 Reactions
0 Replies
378 Views
Upvote 1
20 Votes
UTANGULIZI Nina bahati ya kuandika Maneno haya, Maneno haya nitahadhali ya yajayo kama hatutoyaishi, Ninawaandikia vijana wote wa Tanzania Na Afrika kwa Ujumla Maneno haya yakawe Mwito wa Asubuhi...
1 Reactions
3 Replies
860 Views
Upvote 20
0 Votes
Duniani ni sehemu mzuri sana kuishi kama sisi wenyewe tutaifanya dunia kuwa salama kwa ajili ya maisha yetu wenyewe. Hata hivyo hatuwezi kuishi kiholela, isipokuwa inatulazimu wawepo baadhi yetu...
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Upvote 0
3 Votes
Suluhisho la kudumu kuhusu changamoto nyingi zinazotukumba hapa nchini zinaweza kupunguzwa kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza kwenye teknolojia. Leo nitazungumzia teknolojia kwenye nyanja tofauti...
1 Reactions
2 Replies
613 Views
Upvote 3
1 Vote
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini siwafichi kazi ya kulijenga taifa hili itaendelea kuwa ngumu, ngumu haswa kama viongozi hamtaacha ubinafsi. Nasisitiza tena, taifa...
1 Reactions
0 Replies
789 Views
Upvote 1
104 Votes
MALENGO YA ANDIKO-KITENDAWILI CHA KATIBA YA WANANCHI Andiko hili la kitafiti na linganishi kwa nchi ya Afrika Kusini limelenga kutoa uelewa mpana juu ya Safari ya Mchakato wa Upatiakanaji wa...
43 Reactions
96 Replies
7K Views
Upvote 104
1 Vote
Kwenye dunia ambayo demokrasia imeshuka sana katika asilimia 70 ya nchi 167 zilizofanyiwa utafiti duniani, kwa mujibu wa The Economist Intelligence’s Unit Democracy Index 2020 tangu kushuka huko...
1 Reactions
1 Replies
800 Views
Upvote 1
70 Votes
Mifano ya sera na sheria za tanzania zinavyowanyima vijana wengi michongo. # Mashariti ya kumiliki na kusajili maudhui ya mtandaoni( Youtube channels, Blog, website, etc) Chanzo...
12 Reactions
15 Replies
3K Views
Upvote 70
1 Vote
Karibu ndugu msomaji wa nakara yetu hii fupi, ninayo kuletea kwako wewe pamoja na jamii yote kiujumla hasa vijana ambao wanadhani kitokana na hatua hii ya serikali yetu wanaona kama ni kikwazo cha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
Back
Top Bottom