Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

7 Votes
By Abou Twika 0784327893 Mafanikio ni safari yenye vingi vikwazo, vilima, maumivu, na mipito ya aina yake. Uwepo wa vikwazo katika safari zetu, ni moja ya sababu inayopelekea wengi wetu kukata...
17 Reactions
8 Replies
5K Views
Upvote 7
40 Votes
Hapa napenda kuzungumza na kijana wa kitanzania aliyehitimu elimu ya juu na kuingia mtaani kusaka ajira.Kuna dhana moja iliyojengeka miongoni mwa vijana kwamba unapovua kofia yako kusherehekea...
38 Reactions
70 Replies
7K Views
Upvote 40
0 Votes
MAMANTILIE Hii ni biashara ambayo watu wamekua wakiuchukulia kawaida lakini imetoa ajira kwa watu wengi katika miji mingi na Leo hii watu wamenufaika sana hivo kwa mtu ambae unahitaji kubadili...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
Ni ukweli usiopingika kuwa mfumo wetu wa elimu unapumulia mashine kwa sasa. Mazao yanayozalishwa na mfumo huu yamedoda sokoni, Hali si Hali, ni muda sahihi sasa wa kufanya mabadiliko. Mfumo wa...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Upvote 0
102 Votes
Huu ni uzi kwa ajili ya wale ambao wameajiriwa hasa katika sekta binafsi kwa ajili ya kuwatia moyo wa kukuza uchumi wao. Mimi ni mhitimu wa degree ya masuala ya Sayansi.Miaka 6 iliyopita, nilikua...
95 Reactions
220 Replies
19K Views
Upvote 102
16 Votes
UTANGULIZI Shinikizo la damu ni miongoni mwa magonjwa makubwa yanayosumbua afya za binadamu, Shinikizo la damu laweza kuwa tatizo liliotokana na madhara ya magojwa mengine ya mifumo ya mwili au...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Upvote 16
18 Votes
Katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira ulimwenguni, serikali na wadau mbalimabli husisitiza dhana ya kujiajiri. Jamii inaamini kuwa kujiajiri ndiyo tiba mbadala ya janga la ukosefu...
13 Reactions
29 Replies
6K Views
Upvote 18
7 Votes
Vijana wengi tunapenda kutumia internet kufanya mambo yetu mbali mbali ikiwemo, kuperuzi katika mitandao mbali mbali ya kijamii, kutumiana jumbe, kuangalia video na pia kujifunza vitu mbali pia...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 7
18 Votes
Awali ya yote ningependa kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai na afya njema mpaka sasa ya kuweza kuandika Makala haya yenye kuleta badiliko kwa jamii hususani kijana na jamii inayotuzunguka katika...
12 Reactions
38 Replies
4K Views
Upvote 18
1 Vote
Katika mpango wa kidunia unalenga kufikia 2030 Mwanamke asibakie nyuma katika maendeleo endelevu ya kidunia, juhudi mbalimbli ufanywa na taasisi za kidunia, vyombo mbalimbali katika Serikali...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 1
5 Votes
Nitauzungumzia UCHI kwa kuwa watu wanaoruhusiwa hapa ni kuanza miaka 18 basi hakuna tatizo. JE, NYUMA YA UCHI KUNA SIRI GANI!? Nitatumia Sayansi ya Uumbaji katika kutoa Elimu hii, lakini kabla ya...
12 Reactions
34 Replies
10K Views
Upvote 5
0 Votes
Kilimo ni uzalishaji wa mazao ya chakula na yasiyo ya chakula kwenye mashamba na ufugaji wa wanyama wanaofugwa. Lakini pia kilimo kinahusisha ufugaji wa nyuki na ufugaji wa samaki. Aidha kilimo...
0 Reactions
3 Replies
933 Views
Upvote 0
2 Votes
Utangulizi Katika Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, Sura ya 29; ndoa imetafsiriwa kuwa ni ‘muungano wa hiari’ kati ya mwanamke na mwanaume unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote. Kumbe...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Upvote 2
0 Votes
Hisabati ni somo linalohusisha namba, maumbo, mafumbo, uhusiano baina yao pamoja na vipimo mbalimbali (merrium webster). Sehemu kubwa ya somo hili ni namba 0 mpaka 9 ambazo humtaka mwanafunzi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 0
102 Votes
Habari za leo wakuu. Siku ya leo nimeguswa sana kutambua mchango wa member mwenzetu ip_mob aliyetangulia mbele za haki. Ame play part kubwa sana katika mafanikio yangu, kwa bahati mbaya...
84 Reactions
259 Replies
18K Views
Upvote 102
54 Votes
Hello Mimi ni ndugu yenu innocent kirumbuyo kwa miaka miwili nimekuwa nikiweka story biashara ya viatu 1) Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha 2) Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba...
35 Reactions
100 Replies
19K Views
Upvote 54
13 Votes
Hali ni mbaya! Chanzo: Mwananchi, Tani 7,400 za mahindi zakosa soko (2014) Nilikuwa Kilombero, na kama masihara, gunia la mchele lilikuwa linamwagwa mbele ya uso wangu jalalani. Nisingeamini...
11 Reactions
8 Replies
2K Views
Upvote 13
31 Votes
Kwanza nipende kuwapongeza wanafunzi wote mliofaulu katika masomo yenu ya Advanced level yaani kidato cha sita na hivyo mnatarajia kujiunga na masomo ya Elimu ya juu (Chuo kikuu). Niliona kuna...
19 Reactions
18 Replies
3K Views
Upvote 31
1 Vote
UTANGULIZI Dunia imekuwa ikishuhudia mlipuko wa magonjwa toka kwa wanyama kwenda kwa binadamu na kushuhudia vifo vingi vikitokea tangu zamani sana, ugonjwa wa tauni ni moja ya magonjwa...
3 Reactions
4 Replies
908 Views
Upvote 1
1 Vote
Katika Kutatua Changamoto Mbalimbali za maisha kuongea na kunyamaza ni njia ambazo zimekuwa Zikitumiwa na Watu. Ingawa Watu wengi Wamekuwa na dhana potofu ya kwamba kukaa kimya kwa wakati wote ni...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Upvote 1
Back
Top Bottom