Kwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
Habar wakuu simu yangu ya Xiaomi Redmi 11 pro haifungui picha nkiwa jiiforum naperuzi nyuzi sehemu ya nyuzi yenye picha haifunguku hasa kama nyuzi ya tupia picha ya warembo wakali
Wakuu habari ya nyie, kuna hiki ki redio nimeombwa msaada hapa kukirekebisha, kina shida moja.
Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia...
HABARI ZA MDA HUU NATUMAI UZIMA UPO
Napenda nikuekeze kuhusu hii proJect ya MTFE ambayo imekua maarufu sana na watu wengi hawaiJui pia pamoJa na umarufu wake.
Kwanza kabisa kirefu cha MTFE...
Habari wanajf.. Poleni na majukum. Naombeni kusaidiwa.. Friji langu halipozi tena zaidi tu linakula umeme kuliko kawaida. Naombani msaada wenu.. Nini tatizo hasa?
Habari wakuu,
Msaada jinsi gani naweza kukoleza maneno yawe ya rangi tofauti na nyeusi ndani ya JF
Mfano:
JamiiForums
liwe na rangi nyingine kama nyekundu au bluu
Nawasilisha:
Wadau najiuliza kwann siku izi computer nyingi unakuta storage yake ni 256 yaan imekuwa common
Unakuta mashine ina processor kubwa ila storage ndogo.
Watalaam naomba mnijuze
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest...
Wakuu tukutane hapa kujuzana mambo matamu ya Samsung Galaxy S9.... Leo tarehe 25 itazinduliwa rasmi huko Barcelona!!
Inasemekana hii simu itakuwa ni balaa na itaendelea kukimbiza kama ilivyofanya...
Wakuu, nimepata google adsense lakini sipati ads kwa sababu ya lugha nifanye nini ku switch toka Swahili to English?
Blog yangu ni ya Kiswahili, sasa baada wao kureview inaleta ujumbe wa kutopata...
Hello bosses and roses....
"Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia...
Kampuni ya Samsung iliachia simu ya Galaxy A14 iliachiwa January 12 2023 ni simu nzuri ya bei nafuu yenye muonekano mzuri kuanzia kioo ,kamera, software update support ila utendaji wake wa Kazi ni...
Hellow wakuu za nyakati hizi
Naomba mwenye ujuzi wa jinsi ya kupata namba za nchi za nje kwa ajili ya kujiungia whatsapp
Niliwahi kutumia primo app kwaajili ya kupata namba ya marekan lakini sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.