Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wakuu, Nina simu aina ya oppo ilizima sababu siku chaji sasa wakati wa kuchaji inaniandikia hayo maneno hapo juu halafu inazima. Wataalamu nisaidieni hiyo ni ya kubadili battery au ni...
0 Reactions
1 Replies
599 Views
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii...
4 Reactions
15 Replies
400 Views
Habari zenu wakuu. Nimechoka kununua GB 1 kwa Tsh 2,100 kila siku ambalo halimalizi hata kipindi cha lisaa limoja na nusu YouTube. Nimefikia maamuzi ya kununua Router Nina Smart TV yenye kuingia...
8 Reactions
101 Replies
6K Views
Habari ,Poleni na Majukumu ya kila siku! Nina changamoto moja ya whatsup yangu hii mara ya pili imekua ikiwa locked hivi. Naombeni msaada maana nafahamu humu Kuna wataalamu wengi sana wanaoelewa...
4 Reactions
24 Replies
489 Views
Wakuu, Voice over LTE ni huduma inayomuwezesha Mtu Kupiga simu wakati Simu ipo kwenye mtandao wa 4G au LTE bila disruption yoyote ile sasa ndugu zangu Airtel wao mpaka leo hakuna Hio huduma kiasi...
3 Reactions
15 Replies
583 Views
Mashindano makali yenye vita kubwa kati ya USA na China ya kizidi kupamba moto kwenye teknolojia. Wiki zilizopita china imetambulisha mfumo wao AI(akili bandia) kwa madai yao kuwa inaweza kutumia...
3 Reactions
5 Replies
550 Views
Mimi ni mtumiaji wa ChatGPT toleo la bure, ingawa akili mnemba nyingi zina uwezo wa kuchora picha lakini hii Chat GPT toleo la Bure ilikuwa haiwezi kuchora lakini naona kutokana na ushindani wa...
6 Reactions
69 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4. Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Hii naiweka kama sehemu ya kukusogezea AI kila siku na jinsi zinavyofanya kazi kwa urahisi kabisa.
2 Reactions
10 Replies
371 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5 ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS, pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia...
14 Reactions
117 Replies
5K Views
Wakuu Salaam, Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri. Asante.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi. Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika...
24 Reactions
97 Replies
3K Views
Mtanzania, Elias Patrick kutoka ameunda Kitonga AI ambayo inafanya kazi kwa namna ambayo AI nyingine zinafanya kazi. App yake inapatikana playstore na appstore kwa kuweza kuitumia. Moja ya...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, nimeshindwa kutatua changamoto ya kijana hapa. Chrome app yake anatumie internet ya vodacom, lakini tangu jana akiingia chrome haifunguki kila website, lakini akiswitch internet akiweka ya...
3 Reactions
22 Replies
322 Views
Nimekua mfuatiliaji mkubwa sana wa masuala ya teknolojia hasa huu upande wa website na apps, pia nimejaribu kufanya utafiti mdogo wa Apps zilizopo Google play store Kutoka Tanzania aisee ni aibu...
2 Reactions
2 Replies
202 Views
Hello! Katika kutaka kupima uwezo wa hizi AI hasa hii Chatgpt hasa kwa maswali ya calculation baada ya kuona maswali ya maelezo wanapita nayo balaa. Basi nikachukua swali la uchumi juu ya mambo...
2 Reactions
9 Replies
534 Views
habari zenu wana Jf nimekuja hapa kwa ajiri ya kuwasilisha utafiti wangu ambao nimeufanya juu ya mchezo wa kasino wa AVIATOR ambao unaonekana umewaliza vijana wengi pia unaendelea kuwaliza...
2 Reactions
61 Replies
17K Views
Habarini wakuu, Natumia Laptop HP lakini ghafla tu ukichomeka chaja hairespond chochote wala haiwaki chochote. Tatizo linaweza kua nini hapa?
3 Reactions
9 Replies
360 Views
Wakuu poleni na majukumu. Naomba msaada wa Lsnp Unlocker software, kuna simu ya Vivo y71 ipo kwenye system repair mode nataka kui fix. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Habari wana JF, nahitaji kujua bei nzuri an affordable ya Pasi kampuni ya PHILIPS. Nimejaribu kupitia uzi bei zina range 28k adi 40k ila nimepitia jiji Tz kule naona bei zake zina range 50k adi...
4 Reactions
59 Replies
1K Views
Back
Top Bottom