Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habar wakuu, Naomba msaada wenu nataka kufunga CCTV camera 16 naomba maelekezo kampuni ya camera zipi Zina onyesha picha angavu mchana na usiku kati ya DAHUA,HIK VISSIOn. Natakiwa ninunue nin...
0 Reactions
4 Replies
349 Views
The Nokia P1 Ultra 2025 5G is a smartphone that uses the Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2 chipset. It also has 16 GB of RAM and a 7300 mAh battery.
14 Reactions
34 Replies
998 Views
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
1 Reactions
8 Replies
225 Views
Wapenzi na wadau wa Samsung. Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra. Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakati wengi wanakubali kuwa Akili Mnemba (AI) ina uwezo wa kuleta mapinduzi ya viwanda na kuboresha maisha, kuna wasiwasi unaoongezeka juu ya athari za kimaadili na usalama wa maendeleo yake ya...
2 Reactions
14 Replies
805 Views
kwenye app nyingi siku hizi kuna matangazo mengi sana ,sasa ni njia gani ya kufanya ili usipate hayo matangazo
0 Reactions
3 Replies
218 Views
Kwema wakuu??Ni ipi online application nzuri naweza pata kusikiliza Radio za hapa nyumbani??Maana npo naishi bondeni huku hata Radio hazishiki. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hello wana jf, naombeni msaada kwa wataalamu mnaofahamu jinsi ya kupunguza page kwenye pdf, yani pdf ina page tano sasa nataka zibaki nne moja niitoe
2 Reactions
28 Replies
397 Views
Habari zenu, nina simu yangu samsung A13 nimeanza michezo wa kufuta majina niliyoyapost jana na miezi 6 iliyopita. Naombeni msaada wenu tafadhali I kwa anayejua msaada please Asanteni
2 Reactions
10 Replies
280 Views
𝗠𝗮𝗺𝗯𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮 𝘆𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮𝘆𝗼𝘁𝗼𝗸𝗲𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟱 Kama mpenzi wa masuala ya Anga basi mwaka huu 2025 kutakua na matukio mengi ya kushangaza ambayo utaweza kuyaona live kwa macho yako. Haya ni...
7 Reactions
12 Replies
838 Views
Wadau, naomba msaada wa APK ya MiniTube. Ikiwa kuna yeyote anayeweza kunisaidia kwa njia ya kupakua au kutumia programu hii, nitashukuru sana.
0 Reactions
4 Replies
559 Views
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a Kuuza ni ngumu Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Wakuu nina 350k. Naomba ushauri wenu ninunue simu gani kwa hela hii. Simu inayokaa na chaji na ina designe nzuri pia isiwe single line.
2 Reactions
2 Replies
241 Views
Naomba mnielewe hapa sizungumzii Samsung flagships kama s24, s24 ultra no. Mostly "A" series. Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers. 1. Design mbovu: hawa jamaa ubunifu...
13 Reactions
113 Replies
5K Views
Nimeona watu wengi wanalalamika juu ya simu used from Dubai hususan Google Pixel na Aquos kupata moto Zimekua na tabia ya kupata moto hovyo sana, yaani inapata moto kidogo tu mpaka inagoma...
7 Reactions
35 Replies
1K Views
𝙁𝙊𝙍𝙈 4 𝙈𝙒𝙀𝙉𝙔𝙀 𝙉𝘿𝙊𝙏𝙊 𝙕𝘼 𝙆𝙐𝙎𝙊𝙈𝙀𝘼 𝙄𝙏 𝙐𝙎𝙄𝙋𝙊𝙏𝙀𝙕𝙀 𝙈𝘿𝘼 𝙒𝘼𝙆𝙊 𝙆𝙒𝙀𝙉𝘿𝘼 𝙁𝙊𝙍𝙈 6, 𝙉𝙄𝙈𝙀𝙆𝙐𝘾𝙃𝙊𝙍𝙀𝘼 𝙍𝘼𝙈𝘼𝙉𝙄 𝙉𝙕𝙄𝙈𝘼 𝙃𝘼𝙋𝘼 Muhimu; Kama una changamoto za kiuchumi ni vyema ukasome form 6 kwenye shule ya serikali...
18 Reactions
41 Replies
10K Views
𝗠𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝗺𝗮𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘆𝗮 𝗔𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮𝘁𝗮𝘆𝗼𝘁𝗼𝗸𝗲𝗮 𝗸𝗮𝗯𝗹𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟰𝟬 𝗦𝗶𝗼 𝗺𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 Kabla hatujafikia mwaka 2040 kuna miaka 15 ndani yake kutatokea matukio ya Aiabu kwenye Sayari yetu ambayo mengi ni ya...
5 Reactions
3 Replies
297 Views
Habar wana I.T nawezaje kupata simuliz za ruhundwa zlzokamilika bla kutumia app yake iliyopo playstor,maana app ile kwang inagoma kunisajil,msaada wenu jaman kwa anaefahamu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuja kwenu wadau natafuta msaada Kuna shida imetokea wakati najaribu kuverify account kama vile wanavyotak nimejaribu kwa kitambulisho cha taifa nida, leseni, bank statement naona wanakataa...
1 Reactions
22 Replies
700 Views
Wakuu heshimu kwenu. Naomba msada ya namna ya kuondoa au ku fix hii error code yaa Azam antena. Kingamuzi ni Kipya
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom