Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Ndugu ,naomba mtu yeyote mwenye uelewa wa jinsi ya ku update simu ya android ,simu yangu ni Samsung s 21 ultra inatumia android version ya 13 sasa nataka niipeleke kwenye 14,maarifa yenu yanahitajika
1 Reactions
3 Replies
302 Views
Samsung Galaxy One UI, sio jina geni kulisikia, si ndio? Hii ni software inayotumika kwenye simu na tablet za kampuni ya Kikorea Samsung. Samsung walipoanza kutengeneza simu mwaka 2008 walikuwa...
6 Reactions
10 Replies
704 Views
Habari wakuu, Naomba kujua jinsi ya kufanya channel hizi za WhatsApp iweze kuonekana kwenye search pale mfano WhatsApp mtu akiitafta jamiiforum inakuja. Naomba kufahamishwa tafadhali, ni process...
0 Reactions
5 Replies
305 Views
Smart-glasses na Argumented Reality glasses zimeanza kitambo ila bado hazijafika "peak" ambayo mtu atatamani kununua. Tokea enzi Google alileta Smart-glasses zake 2013 akawa anawauzia...
6 Reactions
5 Replies
291 Views
Wakuu mimi si mpenzi wa pixel, iphone na Samsung lakini najikuta nataka kuchukua tu, Sina namna majuzi nimetafuta simu nzuri yenye kamera kali kila tukilinganisha na pixel basi pixel kiwembe...
4 Reactions
53 Replies
10K Views
Wakubwa nilikuw naomba kwa yeyote anayejuwa odoo ajaribu kunielewsh inavyofnya kazi
2 Reactions
9 Replies
260 Views
Habari, inaonekana simu yangu imekuwa ikituma hizi code for sometimes now hasa kupitia mtandao wa Yas, zinafanana na last day imetuma jana usiku muda huo nilikuwa far asleep, kwa yeyote alie na...
0 Reactions
5 Replies
288 Views
Ninahitaji custom Pc ikiwezekana ziwe za mtumba Ninahitaji kichwa cha custom cpu, Monitor ipo ya kawaida. Budget niliyonayo ni laki 8 hadi milioni 1 Matumizi ni ku edit video pamoja na kuchezea...
0 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa. Nina Halotel Mobile Wifi Mfi_0428F2 ambayo nimeitumia vyema kwa kipindi cha miaka 2, ghafla tu imeanza kuleta shida kama ifuatavyo. Ukiweka line na kuwasha, mara inakwambia...
0 Reactions
2 Replies
230 Views
Nimeandika uzi huu kuwasaidia watu ambao wanataka kucheza games kwenye pc na wanashindwa au hawana pc na wanatamani kuwa na pc waweze kucheza games hizi. Mahala pa kununulia pc za kuchezea games...
19 Reactions
182 Replies
27K Views
Nataka kununua komputa desktop kwa ajili ya kurusha movies na nyimbo ipi model yenye kasi? Bajeti yangu ni laki 3 na 30 wakuu asanteni.
3 Reactions
14 Replies
490 Views
𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗣𝗲𝘀𝗮 𝗭𝗮 𝗡𝗼𝘁𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 Miaka imekwenda toka enzi hizo watu wanatumia shilingi moja, mbili, senti moja nk maisha ya Watanzania yalibadilika baada ya utambulisho wa Noti...
2 Reactions
2 Replies
237 Views
Habari zenu wakuu, Nimekuja kwenu wadau naomba msaada wenu kwa wamiliki wa App huko play store nataka nijue App yenye download watu 10k na watumiaji active 10% malipo yake huwa kiasi gani kwa...
2 Reactions
8 Replies
532 Views
Wadau, Ni brand gani ya headphone au earphone zina midundo yenye ubora wa hali ya juu kwa kusikilizia muziki au audio ambayo haichoshi masikio hata ukitumia kwa muda mrefu,yenye uwezo wa kuondoa...
7 Reactions
263 Replies
20K Views
Hii video hapa inaonyesha namna AI inavyosambaza dawa hospitalini. Taaluma ya unesi itakumbwa na dhoruba. Manesi watapungua sana idadi, maana kwa kweli zaidi ya 75% manesi hutumia muda mwingi...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Habari zenu ndugu na mnaendeleaje na hali huko mliko? Niende moja kwa moja kwenye mada naomba msaada WA kuweza kuficha app kwenye simu YA android huku inafanya kazi. Na jee nawezaje kuifichuwa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
𝗔𝗰𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗧𝗶𝗸𝗧𝗼𝗸 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗮𝗽𝗽 𝗶𝗻𝗮𝗶𝘁𝘄𝗮 𝗫𝗶𝗮𝗼𝗵𝗼𝗻𝗴𝘀𝗵𝘂 𝗶𝗻𝗮𝘄𝗮𝘂𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶 Wachina wanazidi kuwahumiza vichwa marekani 🥱 Baada ya TikTok kuwa kwenye mpango wa kuondoshwa, watumiaji wa marekani...
3 Reactions
7 Replies
595 Views
Wakuu mko salama Iwe application ya simu, desktop application, web systems zote hizi nazitengeza... Cost za server na bundle ni juu yako application ikikamilika ndo tutagawana faida
2 Reactions
8 Replies
337 Views
Salam wakuu, Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Ugeni wa mambo bila maarifa umeliza wengi naombeni mnisaidie kupunguza hasara, Nawezaje kukagua graphivs card ya NVIDIA ni feki au original
5 Reactions
12 Replies
294 Views
Back
Top Bottom