Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo, naomba mwenye kufahamu niwapi nitapata cheapest domain. Pia,ninahitaji kujua mfumo mzima kama hosting inakuaje na gharama zake.
2 Reactions
9 Replies
435 Views
Wanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Hivi ndugu zangu hizi simu za mjapani naona zinakuwa trend sana huku huu mwaka mwishon hapa Niambien zina ubora huo zinaopigiwa promo Camera Waterproof Battery inatunza moto Storage yake. Ya...
4 Reactions
98 Replies
12K Views
Kwa tuliofanikiwa kuwekeza katika platform hii mpya gwec tukutane hapa kwa ajili ya update mbalimbali
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau wa Jamiiforums Habari za wakati huu. Na leta kero yangu kwenu kuhusu WhatsApp yangu kusumbua mara kwa mara. Usumbufu unatokana kuwa log out kwa madai ya account yangu kuhusishwa na spam...
2 Reactions
8 Replies
554 Views
Habari za wakati huu wana Jf. Kuna issue imenitokea week iliyopita nimeenda kariakoo kununua Smart tv TCL inch 32 Tshs 380000; imejaribiwa ikawaka vizuri nikafanya malipo nikaondoka. Kufika...
3 Reactions
10 Replies
326 Views
𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼 𝘄𝗮 𝘁𝗶𝗻𝗱𝗲𝗿 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 Wimbi la watumiaji wa mtandao wanawake kwa wanaume wanatafuta wapenzi inazidi kushika Kasi nchini Tanzania 🤔 Imekuwaje???👋 Kuna tabia kubwa inazidi...
9 Reactions
110 Replies
4K Views
naomba mwenye key za kuresset ink pad za Epson L3250
1 Reactions
3 Replies
164 Views
Habari.. naombeni msaada jinsi ya kubadilisha subtitle kwenye chanel mfano kuna chanel inaitwa Mbc 2 hawa wanaweka muvie nzuri ila tatizo subtitle zao zipo kwa rugha ya kiarabu…
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers. Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior...
9 Reactions
147 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Kuna hawa watu hupost picha/video za kuchekesha kufundisha kuburudisha na vinginevyo katika mitandao kama vile YouTube Instagram Tik Tok nk. Akili yangu inaniambia hii ni...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Wadau habari za saa hizinatumai wazima wa afya kama kuna mgonjwa augue pole. Niende niende moja kwa moja kwenye mada yangu Ni hivi yaani kila nkiingia kwenye Gmail yangu upande wa social naona...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥 💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥 1️⃣ 25 NVMe SSD Storage 2️⃣ Free Website Migration/Transfer 3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x) 4️⃣ Kama Unaitaji...
2 Reactions
16 Replies
384 Views
MwanaKidigitali....hivi unajua Game ya biashara ya Laptop ipo tofauti sana kwa Ground tofauti na wengi wanavyo fikiria. Unaweza kujiuliza kivipi ....? Swali Zuri ...! Nakutana na watu wengi sana...
6 Reactions
10 Replies
895 Views
SECTION A: FEW POINTS ABOUT GOOGLE PIXEL 8 PRO Hapo juu ni Google Pixel 8 (kushoto) na Google Pixel 8 Pro kulia. Kampuni ya Kimarekani ya Google wametoa Google Pixel 8 series juzijuzi tu na...
24 Reactions
73 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu. Nimekuwa nikizitamani sana hizi PC. Nimekuwa nikitamani kuhamia huku mazima niachane na mambo ya HP. Shida ni kwamba sijawahi kuitumia kabisa. Je! Haitiniletea shida? Kuhusu...
4 Reactions
84 Replies
6K Views
Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu. Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu...
3 Reactions
94 Replies
2K Views
Yaliyomo Yaliyomo 1 Week 1 4 Introduction to Android development 4 Overview of the Android platform 7 Setting up the development environment 11 (Android Studio) 11 Understanding the project...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘆𝗮𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗻𝗴𝗲𝗻𝗲𝘇𝗮 𝗡𝗱𝗲𝗴𝗲 𝘇𝗮𝗸𝗲 Hatimaye Tanzania imefanikia kuanza kuunda ndege zake zenyewe ambapo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amefanya ziara katika kiwanda cha Airplane...
5 Reactions
17 Replies
497 Views
WAkuu habari zenu. Naimba msaada wa link ya kunisaidia kudownload facebook contact nimehangaika sana nimeshindwa kama kuna mtu ana link naimba msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Back
Top Bottom