Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wana JF .. Nimekutana na hii habari mwananchi nikaona ni vizuri kushare Rainer Mwashu, mtaalamu wa utengenezaji wa mifumo ya kompyuta, ambaye kwa sasa ni muajiriwa wa Mamlaka ya...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Waungwana nawasalimu, Nina TV yangu ya Smart ya Inchi 50 ambayo imechora mistari mbalimbali ya mlalo (horizontal lines) inayopelekea picha na maandishi kutoonekana vyema. Naomba msaada wa kujua...
1 Reactions
0 Replies
113 Views
Nmeletewa samsung a21 simple haichaji mime chunguza nikagundua charging ic ndio shida kuipata ikawa ngumu ikabidi niunge battry direct lakini changamoto ni kuwa batty inachajiwa ila simu...
1 Reactions
0 Replies
83 Views
Msaada wakuu, nawezaje kuandika maandishi mengi na kuyahifadhi kwenye simu yangu (nje ya mtandao) ili baadae nikitaka kuyahamishia mahali kama hapa jf, facebook na sehemu nyingine yoyote. Kwa...
7 Reactions
66 Replies
918 Views
Imeandikwa na Hash Power kwa Msaada wa Mitandao. Mei 30, 2020 ilikuwa ni siku ya kukumbukwa katika historia ya sayansi ya anga, astronomy duniani kote na hiyo ilikuwa ni baada ya kufanikiwa kwa...
31 Reactions
74 Replies
13K Views
𝗞𝘂𝗻𝗮 𝗯𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗸𝗮𝗺𝗽𝘂𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗻𝗮𝘃𝘂𝗷𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗶𝗿𝗶 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝘁𝗲𝗷𝗮 𝘄𝗮𝗼 Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha...
0 Reactions
3 Replies
233 Views
Habari wakuu mwenye MOD au anaeweza kuiMod hii apk kuja huku tuchonge dili😯 goated daily sure tips
1 Reactions
1 Replies
160 Views
Muhimu: usiweke porn Ukitaka ku enjoy zaidi lipia, vya bure vingi vina vikwazo, vimechuja, havina quality, n.k. Netflix - 10,000, hii ni bei ya vishoka, bei halisi ni 20K. A sports HD - 2,000...
6 Reactions
51 Replies
2K Views
Katika thread hii sitazungumzia ni Nini maana ya Bitcoin mana naamini mada hizo zipo, ila ntaenda Moja kwa Moja kuzungumzia halving. Satoshi Nakamoto kwenye code za Bitcoin Blockchain aliona ni...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama unapitia thread hii naamini unaelewa kuhusu cryptocurrency kwahiyo sitaelezea kuhusu introduction to Cryptocurrency kwasabu naamini hizo mada zipo humubau waweza kuzikuta Google. Katika...
5 Reactions
4 Replies
747 Views
Habari Wakuu,, Kutokana na changamoto ya kukatikakatika umeme huku ninakoishi, Sasa nimeamua kununua solar(Umeme wa Jua). Hivyo basi, kutokana na shughuli zangu huwa narudi nyakati za usiku home...
2 Reactions
12 Replies
420 Views
Wadau Kwa wanaoona Kanye west ni chizi basi jifikirieni mara mbili, mana Kuna ukweli kwenye analolisema. Kanye west anadai scammers wa crypto walimfuata na kumwambia apost kwenye x crypto yao...
6 Reactions
20 Replies
883 Views
Habari JF: Nataka kusajili Paypal kwa namba ya Oman nikiwa Tanzania, ila nikishafika kwenye kipengele cha kuweka namba ya simu nikiiweka na kuruhusu hatua inayofuata haiendelei, yaan niki click...
3 Reactions
10 Replies
269 Views
Wataalam, huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini? Je, kuna madhara? Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao. Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi...
7 Reactions
264 Replies
33K Views
Marekani iliwafungia China katika kila kona ili kuibana na kuzuia kwa hofu ya kupitwa … kiuchumi, siasa hata Teknolojia lakini hadi sasa marekani haiamini kilicho tokea China Imegeuza meza …...
1 Reactions
9 Replies
436 Views
Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy. Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu...
5 Reactions
28 Replies
896 Views
Nataka nianze na serious za Kisouth Africa
2 Reactions
11 Replies
313 Views
Back
Top Bottom