Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Samsung S23 Ultra inatarajiwa kutoka Februari mwaka huu na pia tetesi ni kwamba simu hiyo itakuja na kioo flat kabisa tofauti na ilivyo kwa toleo lililopita (Galaxy S22 Ultra) Samsung Galaxy S22...
8 Reactions
92 Replies
9K Views
Habari wana JamiiForums, na wadau wa humu kwenye Tech & Gadgets Forum nimeona sio mbaya leo kushare basics za Graphics Design kwa wale ambao wanafanya hii kitu tayari au wale ambao wana interest...
14 Reactions
27 Replies
4K Views
The TRAPPIEST-1e is a terrestrial exoplanet that orbits within the habitable zone around the ultracool dwarf star. It was discoverd by Michaël Gillon et al. on February of 2017. Similar to Earth's...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wadau. Nimekuwa na simu yangu iphone 6, lakn ghafla juzi hapa, nilitoa kwenye charger but nilipoiplug in baada ya muda ikakataa kuwaka na kuchaji...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Habarini wakuu, Rejea mada tajwa hapo juu. Nataka kujua ni app gani hutumika kuchorea ramani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar za muda huu wakuu!. Kama inavyoonesha hapo juu kwa izo brand 3 1. SKYWORTH 2. TCL 3. HISENSE nichague ipi kwa ajil ya matumiz yangu ya gheto .bajet yangu ni TV [emoji342] ya inchi 50...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tumeona simu nyingi zinakufa betri (battery) kwa mda mfupi toka simu inunuliwe, hii inatokana na makosa ambayo tunafanya wakati wa kuchaji simu zetu. Makosa gani na nini kifanyike? Mara nyingi...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi ni mdau mkubwa wa kusikiliza muziki kuna hii brand ya JBL nimeiona hawa wanamuziki muzuri Sana Lakini nimevutiwa na HIZI model zao JBL flip 5 na JBL flip essential IPi Bora yenye muziki...
1 Reactions
1 Replies
579 Views
Tunaenda dukan tunanunua vocha then tunajiunga bando Kisha bando twazitumia mitandaon fb google insta na kwengne ivi hakuna njia yoyote ya kunufaika kwa kupitia hizihizi bando zetu.angalia kma...
1 Reactions
6 Replies
932 Views
Kwa wataalam wa IT upande wa software engineering watakubaliana na Mimi kuwa udukuzi ni kitu cha kawaida kabisa katika tasinia ya technologia. Udukuzi hufanywa Mara nyingi sana. Lakini Kuna iana...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Eleza inkuwaje, he inawaka? Je inawaka na kuzima? Je inawaka alafu screen haioneshi? Je unata link ya programs zote bureee Je umechoka kununua antivirus? Tuzungumze uipate Dunia ya technology...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network. Na ubaya...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Huwa nakerwa sana na matangazo kibao nikifungua Internet kwenye simu yangu, MB zangu zinakwenda bure kwenye haya matangazo ambayo kwangu mimi hayanisaidii chochote. Wananzengo wajuzi nipeni njia...
0 Reactions
8 Replies
651 Views
Rundown Rwanda serve for Schooling Dr Valentine Uwamariya said the colleges and other higher learning foundations in the district ought to remain in front of the mechanical bend and adjust to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
During the previous 10 years, China has seen the jump forward of science and innovation (S&T), the fast improvement of sci-tech advancement capacity, and the unmistakable job that S&T plays...
0 Reactions
0 Replies
991 Views
Aspiration is there yet assets may not be, African scholastics caution in front of highest point.<br><br> African scholastics have cautioned that Russia's desolated economy might battle to...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Figure out how to interpret meeting minutes with GPT-4 and Murmur, including OpenAI's six ways to come by the best outcomes from GPT-4. Features. *OpenAI has delivered an instructional exercise...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji189] WhatsApp wanakuja feature mpya ya kuwasaidia watu kuwa na uwezo wa kutuma video fupi fupi kwa mfumo wa Message,ni kama vile voice message. [emoji189] Ceo wa Meta Mark Zuckerberg...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Natafuta Developer ntakaye weza kufanya nae project ndogo ya Deep learning. Malipo yapo. Ni project ndogo kwa ajili ya shule.
1 Reactions
5 Replies
732 Views
Naomba kuuliza ni duka gani naweza kupata brand new camera. Hilo duka liwe ni uhakika na pia litoe warranty isiyopungua mwaka mmoja. In short duka liwe la uhakika. Asanteni.
2 Reactions
6 Replies
582 Views
Back
Top Bottom