Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
hawa jamaa wapo fit sana,decoder bei yake haivuk lak 3,inashika channels za dstv,ukitaka kufaidi zaidi nunua na modem hapo scrach zinaisha pia unaweza kutumia iptv,YouTube na channel za wakubwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wamajamii, naomba kujuzwa uwwezo WA sim tajwa kunzia uwezo wake na being pia .
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu nna receiver hapa media com 910 nikiingia kwenye installation inaomba password, na fundi aliyeiweka simpati, kwa mwenye master code anisaidie pls, natanguliza shukurani!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanawateknolojia Naombeni msaada wa jinsi gani naweza kuibadilisha wine itoke kurun kwenye xp na iwe inarun win 7 kwani nahitaji kuinstall adobe lightroom kwenye laptop yangu ambayo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanaopenda challenges za kuumiza kichwa kidogo, em jaribu ku decrypt hii message uniambie inasema nini.. Some tips: Ni ujumbe wa kiswahili... Another tip: ASCII.... Last tip: Method ilikua...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
ni jinsi gani naweza update status kwe fb na mwishoni ikasema sehemu niliko
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Habari wadau?vninahitaji msaada kwa mtu anayejuwa mahali au mtu wake wa karibu anayeweza kuniprintia sign board ya prastic. size ni 30cmx50cm kwa muonekano inazidi kidogo kwa A4 size. Nina shida...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji laptop yupo mtu anazo mbili Toshiba C50-B920 Black laptop P-N3520 / 4GB / 500GB / DVDRW / 15.6"/DOS na Dell Inspiron 3542 laptop P-PCS 3558U/2GB/500GB/DVDW//WC/UBUNTU. Mi haposijui ipi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
wandugu nimeshindwa ku erase data kwa kuwa nimesahau pasword nikibonyeza vol up + power button inakuja la kwa upande wa kuflash inakataa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
waungwana naomba mnisahidie, kutatua tatizo langu natumia simu aina ya ideos u8150 inagoma kuinstall app ya instagram. pia hata katika play store haipo je nin tatizo? ni simu hiz za tigo
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Habari za siku ya leo wadau wa jukwaa pendwa la teknolojia na sayansi. Leo nimekuja na hoja nyingine ya matumizi ya power bank kwenye mobile devices kama simu na vitu kama hivyo. Nimekuwa mtumiaji...
1 Reactions
34 Replies
11K Views
kwayeyote mwenye utalaam au aliyewahi kukutana na matatizo ya gear box kwenye gari ya PASSO anaweza plz toa mchango wako hapo hiyo gari ilikuwa natatizo gani na uliitatuaje?? maana hizi gari...
2 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari wandugu! wapi hapa Tanzania naweza pata programmed spare key ya BMW,318i ya mwaka 2002 kwa bei reasonable? Natangauliza shukrani. Mwenye taarifa yoyote anaweza nicheki kupitia 075996662 ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa ambaye ana window 10 tafadhari anisaidie
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba msaada, back camera imepotea
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Poleni na majukumu wana Jf, ninashida! Wazee wangu wanapata shida kila mara kumuita fundi kijijini kwasababu ya channel kutoka na kurudi kwenye decorder ya mediacom, naombeni msaada wadau ili...
0 Reactions
2 Replies
36K Views
Habar wana teknolojia....naomba msaada hivi naweza kubadilisha baadhi ya taarifa zangu nilizozitumia kujisajilia paypal hasahasa nataka kubadilisha sanduku la posta kwani nimefungua la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna wengine leo hii huduma za Internet zikisitishwa, basi itabidi tuanze upya kujipanga kimaisha... internet ndo kila kitu! Siku chache zijazo narudi ghetton kwangu! Tatizo la eneo ninaloishi ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada jamani. Inawezekana Kuattach document jamii forum? Kama Inawezekana naombeni msaada wenu !
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji mobile fm transmitter, ni kifaa kidogo ambacho hutumika kubroadcast audio kutoka kwa simu kwenda kwa fm radio ya karibu, Nimejaribu Ebay na Amazon but sina Postal Code so imekuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom