ASSALAAM ALYKUM/BWANA YESU ASIFIWE/ AMANI YA BWANA IWE NANYI
baada ya salam naomba kwa wale madj mnisaidie, kwa kawaida nikiwa nyumbani nikijipunzisha napenda
kutumia vitual dj kusikiliza na...
Hi
sasa kuna hii simu ya Samsung Win nimesoma tutorial za ku-root na the easiest niliyopata ni ya kutumia FRAMAROOT lkn kwangu inafail kwa exploits zote mbili ndani ya hii app
method ya pili...
31 - MAR
How are you dear viewers I hope that you will be in a charming mood. Today I will be sharing with you people how to trace the IP address of an online user using cmd. Most of the people...
icho kama kiringi mkononi mwa mdau apo juu ni "Bracelet cicret" kifaa ambacho kitafanya kazi sambamba na "Cicret app" ambayo uta install kwenye simu yako (kwa nielewavyo mimi)
"Bracelet...
Habari wapendwa!
Hivi Windows Phones(Nokia Lumia) nazo zina clones zake kama ilivyozoeleka kwenye Android Phones kama Samsung etc?
Nnampango wa kuchukua Nokia Lumia once, ila sifahamu kama...
wakuu natafuta note 2 second hand(isiwe mbovu), nna 350,000
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM
Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu...
Scientists urge governments to turn old TV frequencies into free "super WiFi"
Governments should sack plans to auction off old television frequencies to the highest bidder and instead use the...
Mim ni mmoja wa watumiaji wazuri wa hii sim ila yangu n tofauti kidogo, iko telstra branded kitu kinachonikera ni pale ninapojaribu kuinstall uc browser for android inagoma(haiinstall) inasema...
Habari wanajamvi, natumia TECNO P5 lakina ni wiki ya 2 sasa nashindwa ku-update apps, kila nikijaribu napata ujumbe unaosema "No sufficient space on your device" wakati huo memory card yangu ina...
jamani Wa ungwana naombeni msaada hv hz simu za huawei y330 kwenye internet zinatumia line ya tho tu na ile line nyingine haitumiki?? na kama haitumiki kwnye internet naweza Ku unlock nikawa...
Habari Wakuu! Hivi kwanini hizi Nissan caravan zinaongoza kuchemsha? Je ni kwa sababu nyingi zinatumia rejeta za plastik au vipi!? Wenye uzoefu wa hizi gari nahitaji njia mbadala ya kutatua...
Ni matumaini yangu kuwa wote humu ni wazima wa afya, samahani nimetumia tecno p5 kwa mwaka sasa lakini naona kama ndo imefikia mwisho kwasababu pamoja na jitihada zangu bado nashindwa ku update...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.