Kwa wale ambao wapo nje unaweza now kusikiliza redio za ndani (Tanzania ),kwa wale wanaotumia android. Nenda kwenye play store halafu search "Tanzania radio " download hiyo app.utakuwa umemaliza...
Nina iphone 3gs, nikidownload applications kama facebook, whatsapp na nyinginezo zinakataa. inataka ni update kwenda version ya 4. msaada plz ktk ku update
Simplicity and design at the heart of Nokia's first brand-licensed product
Espoo, Finland - Nokia today announced the N1, the first Nokia-branded AndroidTM tablet. The N1 offers the innovative...
Wanajamii habari za jioni.Nina simu aina Alcatel one touch 918 inakubali internet Airtel peke yake,kila nikijaribu airtel haikubali.Naomba mwenye kujua kama configuration ya Vodacom anielekeze...
As there's a growing demand for energy saving technology in industrial lighting, Yaham Lighting upgraded its linear LED high bay light to be more intelligent, energy saving, and convenient with...
Habari za jioni wanajamvi, Awali ya yote niwashukuru wale wote walionipa maelekezo namna ya kupata files hizo kulingana na post yangu ya wiki iliyopita.
Ukweli nikwamba mpaka sasa nimechemka,kwa...
Wakuu !
Naomba msaada wa jinsi gani naweza kupangilia kitabu ili kiwe tayari kwa ku-print? nataka kiwe kwenye size ya A5. Nimeshakiandika katika microsoft word sasa kukipanga kwa pages nifanyeje...
Hellow guys, poleni na majukumu....tatizo langu huwa nikiingia internet nikitaka kufungua website yoyote hata ya Google.com huwa inaishia njiani na kuandika ujumbe "this connection is untrusted"...
Wadau salaam!
NATAKA FUNGUO ZOTE:
Mimi nataka nipate website, nitamtafuta mtaalam wa website anitengezee na kunifanyia masuala yote ya domain registration na hosting! Sasa nikitaka kuwa mmiliki...
Habari zenu wakuu,
Tafadhari naomben ushauri ninunue simu gani kati ya LG G2 na NOKIA LUMIA 830..
nimepta Mlimani city nimekuta bie ya LG G2 ni 645000 na ya LUMIA 830 ni 665000...
Habari wana jamvi,
Nina Tv yangu Samsung LCD flat 32inc, ina sehem ya USB lkn kwenye program zake ukiweka flash disk inasoma audio tu hakuna option ya kuona video. Nifanye nini kuweza kuona na...
11 - MAY
My dear friends, After a long span of time, I have come up with something new for you and hope that you will enjoy it. Today I will show you people the trick which will increase the speed...
Wakuu,
Nauliza kama kuna uwezo wa kudownload app kwenye simu halafu ukaificha mtu mwingine akichukua simu asiweze kuiona!mfano umedowload viber lakini mtu mwingine akichukua simu hawezi kuiona !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.