Wadau nimekuwa na tatizo la pc yangu kujizima na kujiwasha ghafla baada ya blue screen.
Pia wakati mwingine inapojiwasha baadhi ya program imayoa erro sms program stopping mpaka ni irestart...
Hi wakuu,
Naomba msaada wa link au kunipa maelekezo yatakayo niwezesha kudownload drivers za cnon Ir2318
CC MziziMkavu Mwl.RCT, Mkwawa, watu8 na wengine
Wadau JF nimegundua kwamba M-PESA ni mfumo duni sana kufanyia malipo kwa ajili ya bill mbalimbali ambao umenitia hasara na kuniharibia bajeti na ratiba mara nyingi.
Awali ya yote mfumo huu uko...
Habari! jamani naomba mnieleweshe kidogo au kwa mapana yake katika hili. Napenda kujua ni kwa namna gani Mmiliki wa facebook anavyonufaika? mfano kwa mimi mtumiaji wa kawaida mbaye huweka...
Habari za jumapili wakuu!!! Nimetengeneza website kwa kutumia wordpress sasa nataka kurusha hewani. Nimeshanunua domain na hosting plan kutoka hostgator. Nimekwama jinsi ya kuirusha. Naomba...
Habari wakuu, kuna ujanja nilikuwa natumia toka 2009 wa ku install Mac OSX kwenye laptop za kawaida kama Acer, HP, Dell na nyingine nyingi ila tatizo kubwa lilikuwa ni drivers za VGA na Wireless...
Jaman naomba msaada kuna game moja HIV liko kama jamaa anakwenda kumkomboa binti ambaye alikuwa ametekwa kwa yoyote ambaye anarifaham jina aniambie ili niweze kudownload ..au kama kuna linguine...
Hi wana jf bila shaka mko poa
Kama utakuwa na utalaamu naomba unisaidie hili swala.
Nilikuwa nashusha window laptop yangu lakini kila ikifika katikati inaleta neno hili
"STOP: c0000221 unknown...
Habari wakuu,
Naombeni msaada tafadhali,tablet yangu ya samsung galaxy imepata tatizo la kuonyesha battery empty na kuingia katika power saving mode ambayo inaifanya screen brighteness iwe very...
Habari wakuu, nina samsung galaxy note 3 original lakini pen yake inagoma kufanya kazi , ina detect ukiitoa lakini hakuna la ziada baada ya hapo ... msaada wenu tafadhali
Hey wadau naomba msaada kwenu, mi bado mchanga kwenye fani hii Naombeni msaada ktk chili Computer yangu ni mpya ila nikiplay audio au vidio inaniambia haina haina audio device name hats kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.