Habari zenu wakuu, hivi kukaa karibu na minara hii inayojengwa humu mitaani kuna madhara yoyote? na je kama kuna madhara kwanini wanajenga karibu sana na makazi ya watu?
Nimeona kuna watu wengi wanajadili sana kwenye comment za thread mbalimbali kuwa kutumia WIFI ROUTER inasaidia kupunguza gharama za bundle.
1.naomba kufahamu juu ya hichi kitu .
2...
Simu yangu ina tatizo la kuhamisha unachokifanya. Kwa mfano naweza nikawa naandika "a" yenyewe ikaacha nafasi na mbaya zaidi naweza nikawa nafanya kitu fulani kama kuchat ghafla tu inarudi nyuma...
Wakuu Salam.
Naomba kuuliza hivi ikitokea ukafuta kwa bahati mbaya emails ulizotumiwa kwenye inbox ya yahoo, kuna njia yoyote ya kuweza ku-recover? nimedelit information zangu za muhim kwa...
Habari zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira TZ sio siri kujiajiri ndio suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazan muda mwingi nautumia mtandao hivyo...
Nina simu angu aina ya tecno H6 tatizo kubwa ni kwamba haiwezi kutuma picha whatsap halafu nikijipiga picha nikaedit kusave inagoma inasema cant creat files sijui nifanyajee
Makampuni mengi sana ya simu yanawekeza kwenye uchunguzi wa kutengeneza awesome feautures kwenye smartphones, kuna feauters karibuni kama simu zinazokunjika zimenifanya nikose hata la kusema, kwa...
wadau naomba msaada wa antvairus nzuri ya kutumia kwenye cimu yangu ni Celkon A85 Android.mwanzo nilikuwa natumia avg sasa naona ina mb nyingi mno na mimi simu yangu imebaki na mb 10 tu.msaada wakuu
Habari wakuu,
Natumia simu yenye internet ya kasi ya 2g tu, nimeinstall whatsapp cha kushangaza imeshindika kumalizia procesa nzima imefika sehemu ya kuweka picha na haitoki sehemu hiyo...
MTU aki dondosha au kuibiwa simu hiyo, ambayo ina password YA simu NA Apple ID password, je aliyekota/iba anaweza i flash NA kuweza itumia? Ufafanuzi tafadhali
Nina iPad one yangu yenye line inatumia ios5.1.1 Nataka ku update version nyingine kuwa 6or7or8 je inawezekana???? Nitapata tabu sababu kuna apps zinagoma kuinstall
Application tajwa hapo juu inatumika katika kuflash ku-unlock simu kama vile blackberry,iphone pamoja na zile za android,ningependa kupata msaada juu ya link ya kuipata program husika, kui install...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.