Wadau, nina tatizo na PDF Files! Kila ninapo-open PDF file, huwa inafunguka bila matatizo but within few seconds, adobe inashindwa ku-respond na file ku-close hapo hapo!! Nimeshajaribu...
Wadau, laptop yangu inazingua balaa! In short, kama unataka kuiwasha, huwa inatoa mlio wa kugonga (beeping noice)... hapo ni lazima niitekenye sana tu ndipo itaweza kuwaka... baada ya kufanya...
To raise new questions, new possibilities, to regard old problems from a new angle, requires creative imagination and marks real advance in science." ~ Albert Einstein The daughter of an...
Heshima kwenu wakuu,ninauhitaji na game la fifa 15, pc version,nimejaribu kudownload internet lakini sijafanikiwa kuweza kulicrack,nimehangaika ila sijafanikiwa so kwa yeyote ambayo analo...
Naomba ushauri Wa namna ya kurudishia CD (DVD) iweze kuonesha (play) video coz ni CD ya arusi na sina CD nyingine ya kumbukumbu. Asanteni kwa mawazo yenu
Wana jamii forum nimsha Google na ku Google lakini sijapata direct link ya kudownload hizo setup.
Pia namaanisha sihitaji zile installer zinazokuja kutoka official page ya Adobe kwani wanakupa ka...
Wakuu kichwa cha habari hapo juu chahusika, laptop yangu ina HDMI Port lakini nikiunganisha na receiver haioneshi kitu. je kuna software kwa ajili ya kutumia hii cable? msaada plz
Wewe mtu uliyeiba simu yangu iPhone 5, KATIKA ofisi Fulani, tafadhali irudishe pale ulipoiiba, maana hadi Leo inasomeka imefungwa, huwezi kuitumia asilani. Ina password YA simu NA Apple ID, sasa...
Heshima Kwenu wana JF..
Nina iPhone 4s iLa inadai iCloud Acount kuweka Apple ID pamoja na Password ila zote sizijui naomba msaada wenu kama kunauwezekano wa kuremove account ya iCloud.
Niko...
Toka nimenunua laptop yangu sijawahi kubadilisha kitu chochote, nilipatwa na tatizo wakati na edit video space ikawa ndogo nikafanya full format ili nianze upya. Sasa inauliza BIOS password na...
MSAADA HDMI (laptop) TO VGA (projector)
Nina laptop HP ENVY new model haina VGA output connection ila ina HDMI tu na mm nahitaji connection to Projector ambayo ina VGA...
Habari za jioni wadau
Nina simu aina ya t-mobile m.d.a window phone mpya ila tatizo ina Kijerumani ndugu zangu ajuae anisaidie kubadilisha kwenda kwenye kiingereza au anishauri nifanyeje, pia...
Meneja Ubunifu wa studio za Sony, Bwana Cory Barlog amethibitisha rasmi kuwa Studio zao zipo kwenye maandalizi ya toleo jipya la game ya God of War.
Bwana Cory Barlog amethibitisha taarifa hizo...
Halo wanajukwaa!
Kiukweli napata shida sana nikituma sms hazitoki kwa muda mwafaka..zinakuwa pending kwa zaidi ya saa au zisiende kabsa..network ipo vzr na si leo tu ni tatzo la muda.natumia...
Kuna rafiki kaniomba niwaombe msaada wanajamvi wezangu yeye anatumia simu aina ya techno anasema watu wanaompigia wanamwambia simu yake ipo busy kwa maana simu yake ipo bize mda wote je tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.