Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wanaJamii. Naomba ushauri kwa wale wazoefu wa magari. Ni hivi, Je ni Engine gani ambazo zipo nafuu kidogo pia zinazodumu nitazoweza kufunga kwenye Hiace?
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Jamani habari...naomba nipewe elimu kuhusu king'amuzi hiki..nimeona tangazo lao la promotion.nikashawishika kununua naomba kujuzwa na wataalam wa mambo je nikizuri sana au huduma na chaneli zake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Magari kumi ya bei ghali hapa duniani, mwaka 2014 01. Lamborghini Veneno Roadster - $4.5 million 02. Bugatti Veyron 16.4 Grand Sport Vitesse - $2.5 million 03. Koenigsegg Agera S - $1.5...
0 Reactions
20 Replies
14K Views
SCREEN YANGU YA COMPUTER NILIIGONGA BAHATI MBAYA KWENYE MLANGO WA GALI. INATOA KAMA WINO KWA NDANI.KAMA IONEKANAVYO KWENYE PICHA HAPO. JE KUA UWEZEKANO WA KUPATA SCREEN MPYA AU KUTENGENEZA?NA...
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Hello forum members. After making recordings on my str 4922 onto a flshdisk, i cannot play them on my computer using vlc. However when I record using my Eurobox 9700 Gold+, they play just fine...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Habar wana jamvi,ninasimu ya huawei y300 ambayo ni liletoleo la kwanza kabisa! Sasa inaonekana ni kwa ajili ya tigo tu! Kwn nkiweka mtandao mwingne inanidai keys! Kama kuna m2 mwenye hzo key au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu msaada samsung gallaxy tab gt p6800 imepasuka kioo ila touchi nzima naweza pata wapi huduma ya kubadili kioo na nibei gani?natanguliza shukrani wakuu.
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Mwanza kuna uhaba mkubwa wa cd za playstation 3. na kudowngrade ps3 sio ngumu ila ni risky sana... nilikuwa naomba contact ya mtu yeyote anayeweza kudowngrade ps3 (MWANZA) na kumlipa.. ila...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye kuzielewa vizuri hizi simu aina M-Horse zikoje katika ubora wake kwa ujumla kimatumizi ..na ni tatizo gani kubwa labda liko na hizi simu ambalo kama mtumiaji unahitaji kuwa makini...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Simu za kisasa zinakuja na functionality nyingi kiasi cha kwamba kuna baadhi ya vitu vitatoweka kabisa huko tuendapo. Kwa mfano Redio, Tochi, Calculator, Kamera, cd player, marafiki wa ukweli...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa anayejua jinsi ya kujua salio la vifurushi vya internet kwenye Airtel na Vodacom aniwekee hapa,asanteni
0 Reactions
0 Replies
21K Views
kwa wale wenzangu wanao tumia qsat23 vipi zipo hewani kwa sasa? mwenzenu channel zote za d*tv hazionekani natumia account ya Tv1,mambo yaliharibika tangia siku jamaa walipo update na kuongeza ITV...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
Heshima iwe kwenu wana wa jf wenzangu naombeni msaada mwenye wimbo huu anisaidie siujui jina lake ila kwenye wimbo huo kuna maneno yanayoimbwa wanasema supu umetia nazi supu haitiwi nazi kiungo...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Kuna mtu yeyote mwenye ujuzi na hii mobile App ya inauzwa.com ya android? Ni hatua nzuri jamaa wamefanya ila app yao inansumbua kidogo kwenye techno yangu nkitaka kuweka tangazo, sijajua kama ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za saa hiz wapendwa mimi nina modem aina ya HUAWEI E303h-1 Hi-link ya Airtel Tanzania nina tumia PC-DEll RAM-760MB WINDOW-XP PROFFESSIONAL kila napoipachika kwenye pc yangu inashinwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hi wana jamvi nina flash nimeinunua lakini nikitaka kuiwekea chochote inakataa inaniambia "this flash is protected" Kama utakuwa na ujuzi juu ya hili tatizo nisaidie.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
10 BEST ENGINES IN THE WORLD. http://autos.yahoo.com/news/10-best-engines-world-211840467.html http://autos.yahoo.com/news/10-best-engines-world-211840467.html
0 Reactions
1 Replies
916 Views
Jaman nisaidieni toka jana simu yangu i Imeanza kuwa na tatizo la nikiweka charge haingii ikiwa inaonesha kuwa inaingia simu yangu ni sony xperia m
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wandugu.Naomba kufahamishwa kati ya HUAWEI ACSEND Y300 NA TECNO P5 ipi ni sim bora?Ahsante
0 Reactions
1 Replies
734 Views
Wakuu simu yangu inatatizo laku-play video kutoka ktk blogs mbalimbali. Mwenye suluhisho wa tatizo hili msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom