Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwanza napenda kutoa pongezi kwa wana JF kwa kutokuwa wachoyo wa kupeana ujuzi hasa new technology. Juzi nililazimika ku-format computer (laptop) yangu baada ya Spyware kuingia kwenye programs na...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari zenu wakubwa. Nina imani humu ndani kuna watu wana uzoefu na mada tajwa hapo juu. Kuna eneo nimekua nalifanyia utafiti kwa muda mrefu hapa Songea na kugundua kuwa wakazi wa hapa wamekua...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari wana JF?? Sie wengine magari ya manual tulijifunzia tu lakini tumekuwa tukitumia automatic kwa muda mwingi sana. Ok, issue iko hivi...nimekuwa nikitumia gari yenye automatic...
1 Reactions
105 Replies
31K Views
Nimepakua keys za antivirus tatizo nikifungua hilo file linadai program ya kufungualia, maana nikitumia microsoft word inafunguka vitu vya ajabu, msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila mwaka Google huweka hadharani orodha ya maneno yanayoongoza kutafutwa kupitia search engine yake. Kwa mwaka huu 2014 orodha ya mambo yaliyoongoza kutafutwa kupitia Google ni hii hapa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau. Naomba Mtu Yoyote Anisaidie Kunipa Code Za Visual Basic Nitakazo Zitumia Kuweka Data Kwenye Flex Grid Control Kipindi Cha Ku Run. Wana IT msada tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna antivirus na anti theft apps kibao. Je,kama smartphone yangu nimeiwekea anti theft. Simu ikaibwa au kupotea, mtumiaji mpya akai-format au akai-flash je ile anti theft itafanya kazi...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Hello Kwa aliekuwa Certified ISSP(CISSP) Tafadhali tunaomba utueleze Challenge uliyokutana nayo coz kuna watu kibao wanatamani kuwa satified lakini kuna mambo ambayo hawayajui kama Center ya hiyo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya Lamborghini imetoa simu yake ijulikanayo kama Lamborghini Tauri 88 maalumu kwa watu matajiri (watu wenye uwezo wa juu kifedha).
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari za leo wana JF. Naomba msaada jinsi ya ku-access free channels on DSTV (hata kama package ikiisha mda wake). My decoder model is dsd 3u. Thanks in advance.
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Wadau wa jukwaa hili naomba msaada wenu. Kuna ndugu yangu hapa kanunua simu aina ya ZTE,sasa kashindwa kujiunga na whatsapp,kaniletea nimsaisie. Ukiingia playstore inakuuliza kama unataka ku add...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau nahitaji kufahamu jinsi ya kuongeza channel kwenye star times decoder,na kutumia bure!
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau wa jukwaa hili naomba msaada wenu. Kuna ndugu yangu hapa kanunua simu aina ya ZTE,sasa kashindwa kujiunga na whatsapp,kaniletea nimsaisie. Ukiingia playstore inakuuliza kama unataka ku add...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Tablet kwenye ngozi yako https://www.youtube.com/watch?v=9J7GpVQCfms#t=25 Maelezo ya kina hapa chini http://rt.com/news/214191-cicret-bracelet-skin-tablet/
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii naomba msaada wenu. Nina Ipad, na ninatumia airtel kununua internet bundle. Lakini kila ninapotaka kununua bundle lingine ninalazimika kuchomoa kadi na kuweka kwenye simu ili nifanikishe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeibiwa galaxy note yangu muda umepita. Jitihada za kuipata zimeshindikana. Aliyeiiba alishindwa kupita kwenye security system yangu, so akaiweka on na nikaongea naye. Akanipa namba ya tigo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
App ya skype imezindua uwezo wa kutafsiri lugha. Hii inamaanisha watumiaji wanaozungumza lugha mbili tofauti wataweza kuwasiliana moja kwa moja, kila mmoja akizungumza lugha yake ya asili ambayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna technologies za bei nafuu sana ambazo ni quite fascinating, moja wapo ni hii Google cardboard! Google cardboard inacost about $10-$20, inatumika pamoja na simu kama Virtual reality viewer...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
wakuu naombeni msaada kuhusu uc browser maana nimei donload zaidi ya mara tatu ila inagoma tu tatizo kila napoingia inaniandikia neno hili#ooops link appears expired sasa sijui tatizo ni nini
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu nini tatizo play store imegoma kufunguka kwenye sumsung galaxy gt n 70000 mwanzo ilikua poa ila hai respond.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom