naona tigo wanaziuza hizi simu kwa bei nafuu sana, wadau naomba mshee ubora wake na kama mnashauri kuzinunua, binafsi nimeshawishika kununua y 530 ila sijui ubora na udhaifu wake, na je zinakidhi...
Habari wana JF.
TV ya JVC imebadili lugha kutoka kiingereza kwenda kiarabu. Sijajua chanzo ni nini lakini ninapotumia rimoti lugha inayoonekana kwenye TV ni kiarabu na kwa maana hiyo nashindwa...
Naomba niulize swali,nimekuwa nikiona magari yanayokwenda spidi zaidi ya ile iliyowekwa kisheria hupigwa picha na RADAR.
Swali; hivi radar huitambua kwa njia ipi kama gari ime overspeed? Huwa na...
Habari wana JF. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikitumia simu za nokia, hasa hizi za symbian OS. Ingawa huwa natumia hata za Asha, lakini kwangu symbian ndo the best kwangu. Juzi kati hapa, niliamua...
Kabando kanateketea fasta kama sidownload vitu! Sasa maguru Hanna hizo makitu labda za kudissallow some apps kuoperate background! Labda ibaki WhatsApp tu!
Natumia smart kicka ya Vodacom!
Au...
Kampuni ya Microsoft imemteua Ms Mariam Abdullahi kuwa meneja wake wa Africa Mashariki kwa upande wa vifaa vya mobile. Sehemu kubwa ya idara ya vifaa vya mobile ya Microsoft inatokana na kampuni...
Nataka kununua laptop kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya chuo, je kwa bei ya laki nne na nusu mpaka laki tano ninunue laptop gani nzuri? na kwa kariakoo ntapata duka gani?
Asante
Habar wana JF mimi nina hitaji kununua mojawapo kati ya Laptop au Ipad je ni kipi kati ya hiki ni muhimu zaid ya mwenzie na naomba mnitajie huo umuhimu wake upo wap zaid?
Natanguliza shukrani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.