Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nilikuwa ninaomba maelezo na apllication za kuroot simu ya IDEOS ,na jee nikiiroot android version yake itakuwa ngapi? kwa sababu ya sasa ni version 2.2!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nilikua naomba kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata simu tajwa hapo juu hapa Dar sababu nimeitafuta bila mafanikio Simu yenyewe ni motorola moto e
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wadau wenzangu ninahitaji kujua bei halisi ya hizi samsung galaxy s4 na s5 zote zikiwa ni mini kwa Mwanza city,kwani bei zinachanganya sana na nilipojaribu kuwauliza wenyewe kupitia ukurasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani wadau wenzangu ninahitaji kujua bei halisi ya hizi samsung galaxy s4 na s5 zote zikiwa ni mini kwa Mwanza city,kwani bei zinachanganya sana na nilipojaribu kuwauliza wenyewe kupitia ukurasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waungwana wa jukwaa la technology ningependa mwenye kujua specifications za Vodafone smart kick anijuze apa pamoja na mapungufu ya iyo simu, i want to purchase that product for someone.
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Wakuu habari za majukumu. Juzi katika mizunguko yangu nilipita mahali na nikaona jamaa mmoja anangalia video kutokea kwenye simu yake ya mkononi kwenda ukutani bila kifaa kingine chochote. Simu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Y combinator are currently holding lectures at Stanford university on how to start a successful start up.The course is called How to Start a Startup. For those ambao hawaifahamu Y...
1 Reactions
1 Replies
929 Views
nilitaka kujua jinsi ya kupata na kutumia maongezi niliyofanya na namba ya simu kama ushahidi, je nifuate hatua gani hadi nipate na gharama?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wakuu wa hapa jukwaa, poleni na majukumu ya kila siku ya kusukuma gurudumu la taifa Wakuu nina muda wa mwezi mmoja tangu niamie kwenye huu ulimwengu wa android, wiki yangu ni SONY...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau ninajaribu kudesign blog template kwa kutumia aristeer 4. Shida inakuja submenu haitokei baada ya kuiupload. Kwa wale wenye uzoefu na hili naomba msaada wenu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau wangu naomba kufaham comparison ya hizo simu hapo juu ktk ubora wake na pia naomba ushauri simu gani ni nzuri kuwa nayo kwa maana ya kununua kati ya hizo maana katika kufatilia kwangu naona...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau ninataka kujifunza computer programming Kama vile C++,java,HTML n.k. Nimejaribu kutafuta hapa Dar lakini sijafanikiwa.Kuna sehemu yeyote hapa Dar wanafundisha hizi programs?
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Nina Os ya win 8.1 na win 7 kwnye flush yangu sasa nataka kuweka kwenye cd ili iwe bootable yani niwe natumia kufanyia new installation kwenye pc hambayo haina windows. Nimejaribu na nero...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu kuuliza si ujinga nataka nitupie clip ya video muongozo tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, kama kichwa kinavyosema hapo juu nahitaji msaada wenu na paypal kwani nimejaribu kujiunga na hiyo Internet Banking na Nikatumiwa confirmation password n.k Lakini shida inakuja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nna modem Ya huawei model ilikuwa Ya sasatel. Model: Huawei EC122 cdma1x EVDO FCC ID: QISEC122 Anybody can help unlocking
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Wana tech nashindwa kuinstall configuration settings kwenye simu (tecno m3) coz napaswa ni INPUT PIN ambazo sizijui.. nitazijuaje? Nawasilisha!
0 Reactions
6 Replies
957 Views
Naomba kufahamu tofauti ya ubora kwa magari yafuatayo. Harrier,X-trail, Rav 4 na Ipsum.Wazoefu naomba mnielekeze tafadhali!
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wana JF, naomba kwa yeyote ambaye anaweza kunielekeza wapi nitapata mafundi wa ipod na Wii Nintendo Game Tatizo la Ipod, Ilianguka ikawa haiwaki kabisa na ukiweka kwenye umeme inakuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
anaetumia hii simu
0 Reactions
3 Replies
796 Views
Back
Top Bottom