Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hey guy recently been teaching myself php. So did the next best thing and that is try to find challenges to solves. Found this Reddit forum ambayo wanapost challenges every week ranging from easy...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu poleni na uchovu naomba msaada nina blackberry yangu ni aina ya curve inanisumbua sana napoingia watsap na haswa pale napotaka kutuma sms..meseji inakuwa inakataa kwenda kabisa haioneshi...
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Wadau nina laptop inatumia ubuntu. nataka kupiga chini niweke window 8. Kama kuna mdau yupo moro au mzumbe PM fasta tugawane umaskini.
0 Reactions
4 Replies
920 Views
Hili ni toleo jipya la hii kamusi ya Kingereza-Kiswahili-Kingereza. Unaweza kufatilia thread ya mwanzo hapa...
9 Reactions
45 Replies
8K Views
Jamani nitapata hii simu kwa bei gani ikiwa mpya kabisa.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Nina iphone 5s ios 7.2.1 na nimeijailbrake Nataka kwenda ios 8 lakini nasita sababu tu bado haijapatikana jailbrake ya uhakika Moja ya vitu siwezi kuwa tayari kuvikosa kwa ios ikiwa jailbroken ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Moja kati ya waasisi wa mtandao waPirrate bay Gttfrid Warg amehukumiwa kwenda jela miaka sita kwa kosa la kufanya hacking na kujihusisha na upakuaji wa mafile kinyume na sheria. Imethibitika kuwa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Tigo na Facebook kwa hili mnastahili hongera sana. Kupitia internet.org unaweza kutumia internet BURE kwa baadhi ya website kama BBC, Mwananchi, wikipedia etc. How do I get Internet.org? You...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Kwa wale wanaotaka kwa hamu kujifunza 3d animation na CGi kwa ujumla, nikitengeneza tutorial DVDs kwa lugha ya kiswahili, mko tayar kulipia ( maana wabongo tunapenda vya bure ) and what do you...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, taarifa ni kwamba kama ume install Flashlight App yoyote kwenye smartphone yako au tablet upo katika hatari ya kuchukuliwa data zako muhimu. Nikwamba most Flashlight App unapo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Salam wakuu, Habari za jioni? leo niliingia kwenye google playstore nikitaka kudownload game ya Modern Combat 5, lakini it was such a nuisance baada ya playstore kuniambia kwamba version ya hili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau Wa Computer Nataka Niwaulize Ivi Dsl Modem Bora Wanauzaga Sh.Ngap Na Maduka Gani Wanauza
0 Reactions
13 Replies
1K Views
habari zenu wakuu.. kama headline inavyosema nataka niweke game ya ps kwenye flash disk je inawezekana ikaplay kama navyocheza na cd? na file liwe kwenye format gani? ni steps zipi nifate...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Habar jf naomba msaada wa kitalamu hivi unawezaje kutambua sm yako ya HTC nice original au kopi kama simu zingine kama nokia
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Habari zenu wanajamii, I have to submit my assignment based on online banking project which includes languages such as html,php,mysql. now i am not good with developing websites... this project...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaani nisaidien kama kuna app yoyote ya kutumiaa, natumia android phone
0 Reactions
2 Replies
10K Views
kuna launchers nyng kwa android, kwa wale wasiojua, Launcher kwa android ni sawa na themes kwa nokia phones, sema launcher zina customizations nying zaidi. Unatumia launcher gani? Waipenda...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Nifanyeje ili niweze kuwablock kabisa hawa jamaa maana wamekuwa kero, kero, kero. Kosa nililofanya ni kuingia kwenye website yako na kuwapa email yangu tena ya kazini. Sasa imekuwa sheeda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi kubwa ina wasomi na wataalam. Teknolojia ya magari iko wide open na tunapoteza fedha nyingi kununua magari nje. Swali ni kuwa kwa nini hatuna kiwanda cha magari?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wadau napenda kuuliza kuna faida gani au hasara gani kama nita-Jailbreack iphone yangu??????
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom