Licha ya kwamba Tanzania ikiwemo katika orodha ya nchi ambazo zipo nyuma kiteknolijia, watu wametumia huu mwanya kuendeleza
maisha yao kwa njia ya biashara zinazohusiana na teknolojia, zijue...
Samsung wameandaa party ya uzinduzi kwa ajili ya Samsung Galaxy Note 4. I thought it would be great to share. hope tutakutana pale :)
Events Name: Samsung Galaxy Note 4 launch Party in Dar...
Wakuu habari za asubuhi,
Nipo Dodoma mjini kabisa ila cha kushangaza sipati 3G ya Vodacom, tatizo ni nini? Natumia huawei ascend G730, kama kuna anaefahamu namna ya kui set manually naomba...
Habari zenu wakuu!
Kwa muda mrefu nimekuwa naomba ushauri kuhusu these brands of mobile phones.
Lakin naona bado sijaridhika vizuri leo nimeonelea nije rasmi kuomba ushauri kwa mwenye...
Habari wana tech,
nahitaji software tajwa hapo juu kwa ajili ya kufanya rekodi biashara yangu ambayo ni biashara ya kawaida tu.
kwa yeyote mwenye kuijua anaweza nisaidia jinsi ya kuipata.
Waungwana, nina gari tajwa hapo Juu, Nilimuazima Mtu akarudisha Feni ya Air condition ikiwa haifanyi kazi, Nimepeleka kwa mafundi na mafundi eti moto hautoki kwenye control. nimenunua feni niki...
it's been more than a week now since I've been accessing my email in vain,the major fault which is regularly indicated to me is merely wrong password the thing which is'nt true,I have never ever...
Habar wana jukwaa binafsi sina ujuzi sana wa mambo ya computer, Hivyo nilikuwa naomba msaada.
Je! naweza kudownload window 8 au 7 kwenye pc yangu na hizo set up kuziweka kwenye cd kwa ajili ya...
Kama hujui, motorola hivi karibuni wametoa mzigo mpya uitwa motorola Droid Turbo wenye specifications za kutisha. Kwa maoni yangu, overall ni simu inayotangulia mbele ya xperia z3, lg g3 na...
Habari wanajamvi.
Nimejaribu kupitia audio settings zote na profile zote lakini imeshindikana calls zikiingia tu simu inajipeleka silent mode hivyo kupitwa na calls za muhimu sana.
Natumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.