Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Laptop Toshiba imezingua keyboard keys hazifanyi kazi, kwa mujibu wa mtu niliyemuachia anadai alikuwa anaisafisha na mara baada ya kumaliza kuisafisha (na fluid) ndipo tatizo likaanza...napata...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nisaidien sina utaalam nazo,Nataka kununua laptop kwa matumizi binafsi ila sijui iwe aina gani au iwe na sifa zipi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Please Check the document i uploaded for you now as i'm having problems with the attachments. Click here to download Just sign in with your email to view the document. Taarifa za hiyo domain ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wandugu nahitaji msaada, kuna simu nimepewa ila ina tatzo kidogo, imeandika invalid IMEI nimejaribu kila njia nimeshindwa naomba msaada wako plz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natanguliza salam. Nina digital camera ya Sony. Tatizo lililopo ni kwamba kila nikiiwasha inaganda. Yaani nikibonyeza tu kitufe cha kuwashia inaleta kwenye kioo Window ya kutaka nirekebishe...
0 Reactions
2 Replies
830 Views
Wakuu nasikia hilo n tatizo common kwa laptop aina ya pavilion...swali langu je inaweza tengenezeka na kama inawezekana je gharama yake n sh. Ngap...msaada wakuu maana boom limekata...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
habar....jamani nina dvd yangu ya kwaya nikitaka kuiangalia kwenye laptop inagoma na inaonyesha ina 0 byte...ila kwenye deki ya dvd inaonyesha ..shida ni kwenye pc
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Wadau ninatatizo na gmail account yangu ninapotumia sms zinaingia kwenye trash tatizo ni nini? Naombeni msaada wenu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I hope Tanzania falls under this category. ------------------------------------------------------------ WhatsApp will continue to offer its service for free to users in developing countries...
0 Reactions
2 Replies
979 Views
Wataaalam,ninashida na receiver ya mpeg4 HD yenye uwezo wa ku edit biss key ili niikamate vizuri PTV na nyinginezo,je receiver gani nzuri na bei gani? Pia hiyo receiver iwe na uwezo wa kuonyesha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Polen na majukumu wana jukwaa kwa heshima na taadhima naomba mtu mwenye utaalamu au link ya kuweza kupata vitabu vya masomo ya sayansi jamii anisaidie ili niweze ku download maana nasikia kuna...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamvi ? Mimi natumia huawei Y300 mwanzo ilikuwa poa tu ila sasa hivi kila niki download apps kutoka playstore inamaliza kabisa ila tatizo linakuja katika kufanya installation ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Binafsi facebook wame block groups zangu zote na nimejaribu kuwasiliana na watu kadhaa wanasema hata wao profile zao zimekuwa blocked je na wewe hali ikoje kwa upande wako? Je, una...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nina note 3 mpya inanisumbua kitu kimoja, yaani haiwezi kudownload iwe picha hata videos au music folder zozote, vile vile inagoma kufungua baadhi ya apps kama jamiiforum na apps za vitabu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natumia simu ya Huawei Y560, naweza kupost mada husika pale ninapotaka ku-Attach picha labda nashindwa kuiweka japo naona neno Attachment ila kufikia mwisho ina-fail. Wajuzi nipeni utaalamu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndug wanaJF me ni mgeni ktk hili jukwaa lakn naomba msaada wenu kuhusu hii data roaming. kuna jamaa ana cm ya vodafone vf685. cm yake ikiwa kwenye mtandao wa 2g inakuwa na speed ya 3g kwan...
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Kutokana na kuongezeka kwa makazi ya watu huku ukubwa wa transformer za Tanesco zikibaki zilezile,kumepelekea maeneo mengi ambayo miji yake inakuwa kukabiliwa na tatizo la umeme mdogo hasa kipindi...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
WANA JF.. Leo nimeenda kumnunulia tecno h6 wifi(shemej) yenu,nlvutiwa na simu kwasabu iliandkwa specs zake ni 8GB(ROM),1GB(RAM).. Lakin nlpofka nyumbn na kuiwasha nkakuta kama ifuatavyo
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakubwa nimekomea hapo na hii ndo mara yangu ya kwanza kuinstall iki kitu
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Simu iliwekwa password, mtoto amechezea, inadai email na passwed, mwenyewe amesahau zote, anawezaje kusaidiwa? msaada kwa wataalamu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom