Habari za mchana wakuu.
Please naomba msaada kwa anaejua maana imekuwa kero kwa kelele,Jiko ni aina ya WESTPOINT mafiga mawili lina miaka mitatu sasa.
Tatizo lipo hapa yaani kila ukiliwasha...
Habari wakuu, wataalam na wanataaluma ya IT nahitaji kuelekezwa juu ya laptop yangu hp nimekua nikitumia win8 mwaka sasa hapa katikati mwaka huu nilinunua anti virus mpya, nikaiweka cha ajabu...
Habari zenu wanaJF, mimi nimgeni kidgo kwenye maswala ya VPN hivyo nilikuwa naomba msaada wenu juu ya kuchagua VPN ambayo ina the highest quality kwa hapa nchini kwetu TZ
Habari wadau?!
Ninatumia Samsung galaxy s duos s7562 ambayo inamwaka mmoja na miezi kadhaa sasa.. Imekuwa na tatizo la kustack/kufreeze/kuhang nimeivumilia kwa vile RAM yake siyo kubwa (around...
Habarini wakuu,
Naombeni msaada kwa yeyote mwenye ufumbuzi na hii kitu! kila nikijaribu kufungua simu yangu ili niweze kutumia kama wireless kwenye computer yangu inaniletea ujumbe unaosema hivi...
Habari za Jumapili Ndugu zangu..
Ni hivi Mwenzenu nimejipiga piga nimepata Laki 4 hapa,Nahitaji kununua Laptop Nzuri Ambayo Itanisaidiaa kwa Maishaa yangu ya chuo hapa..Mimi ni mpenzi wa Games...
Napata meseg hii wakat wa kuistal Bluestacks
"Mmm.. it seems Bluestacks App player couldn't be Installed on this computer. we'd love to fix the problem- can you help us? search your computer for...
Hili tatizo limemtokea rafiki yangu..alinunua simu ya tecno A3+ Dar es salaam november 2013 jana simu imezima! haiwaki mafundi wamejaribu kuitengeneza wapi wataalamu unazijua hizi simu mnisaidie.
Naomba msaada wenu wakuu na wataalam wa JF.
Simu yangu ni tecno p3, sasa kila nikizifuta messages baada ya muda huwa zinarudi zote kana kwamba zijazifuta, na nimefanya hivi zaidi ya mara 10...
naomba mwenyekujua ufumbuzi WA tatizo hili kifaa changu kimeharibika touch screen lakini picha inaonekana ni Sony experia z1 tablet kwa yoyote mwenye mawazo please nisaidie niirudishe katika...
Habari yenu Mimi ni miongoni mean wachache wanaomiliki blog hivyo basi napenda kuuliza source inayoweza kunipatia pesa online other than Google adsense
ina miez miwil tangu niinunue,ni ram 4gb,i5-2.3ghz processr,hdd 500,32 bit op system. Inazngua keyboard keys.ukibonyeza k inaleta f,nk.pia haisomi biometric devices. Nifanyeje?
wadau habarini, naomba msaada wenu kwa anae jua hii cm itel smartphone 2line yenye ukubwa wa 2.2 . Je ni nzuri na bei yake kwa sasa ni shlingi ngapi kwa tsh. Cc: Chief-Mkwawa na wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.