Kwa wale mafundi wenzangu hiyo tv ni 32" inawaka vizuri na lakini kwenye kioo hamna kitu ni mwanga mweupe ila sauti inatoa picha ndio hakuna naomba msaada wataalamu au mwenye kumjua fundi anipe...
Napenda nisaidiwe kujua huu mkonga wa taifa ni nini?. Una tofauti gani na mikonga mingine tuliyonayo.
Hapo hapo kuna faida gani kuwa na mikonga na kutokuwa nayo.
Nina sch-1800 galaxy tablet veriZon wireless, tatizo ni suala la betri lake nauliza kuna uwezekano wa kubadilisha maana nimefungua ndan linakua kama liko fixed. natanguliza shukran
All your favorite dev tools and more
Firefox Developer Edition brings your core dev tools together with some powerful new ones that will extend your ability to work across multiple platforms...
The landing by the washing machine-sized craft after a decade-long journey required immense precision, as even the slightest error could have resulted in stellar calamity.
Indications were that...
Using command script
Click start menu, on the search form type cmd then a command prompt will appear, click on it
After that type SLMGR/REARM then press enter.
Restart your computer and its gone...
(MEANING OF POKE IN FACEBOOK)HII NDIO MAANA HALISI YA "POKE" KWENYE FACEBOOK AMBAYO WATU WENGI HAWAIFAHAMU
Unaweza ikawa unaelewa maan ya poke kama ni salam ya kumpa kama vile mambo lakini ku...
Wadau naombeni kuuliza bei ya screen display ya hii simu ni shilingi ngapi? nimeenda maduka ya kariakoo kule wakaniambia hazipo! naomba kwa mtu anaefahamu sehemu nitakayoweza kuipata! niko Dar-Sinza
Wadau nashukuru kwa mara nyingine tena kuja katika jukwaa hili nikiamini kuwa kina wataalaam wa tecnojia ya mawasiliano wakiendelea kuakikisha binadamu hatupati shida kwa mahitaji yetu ya kila...
Guys natakakununua Samsung Galaxy s3 kwa mtu ambayo INA costom ROM CM11 sasa kila nikijaribu kuingiza code tofauti tofauti kama *#0*# or *#9090# hazileti matokeo yoyote he nikitu chakawaida na je...
Wakuu nimejisajili paypal karibia mwezi sasa lakini akaunti yangu haijawa activate ,wamenitumia email wanadai kuna baadhi ya vitu inanibidi nikamilishe ili akaunti iwe activated,tatizo liliopo...
Mtu unaweza kununua simu hujui yawezekana labda iliflashiwa itumie lain zote tofauti na mwanzo kama tunavyozijua simu za Tigo, sa n vitu gan vitanisaidia kujua kama simu(smartphone) imeflashiwa au...
Hi Guyz!!!!
nina simu yenye window phone 8, NOKIA LUMIA 720 Imepata tatizo katika batani zake za pembeni, zile za kuongezea saut na ile ya kutoa simu katika lock (power batan), nilijaribu kupeleka...
Nime nunua Huawei y550 lakin kwenye notification panel haifanyi kazi yaani iko disabled..sasa najiuliza hii simu ni original kweli? Nilinunua pale splash Posta.
wadau nashukuru kwa mara nyingine tena kuja katika jukwaa hili nikiamini kuwa kunaa wataalaam wa tecnojia ya mawasiliano wakiendelea kuakikisha binadamu hatupati shida kwa mahitaji yetu ya kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.