Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
http://youtu.be/z4PwsniY-EY The original YotaPhone caused a stir with its radical dual-screen design. Well the Russian firm is back with a second generation smartphone which improves on the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nisije kujuta jamani Nina mpango wa kununua hii simu Nokia XL ila sijajua ubora wake na uzuri wake kiujumla mi nimeipendea size yake na kimuonekano kiujumla naomba wazoefu mnieleze ubora wake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa wale mnaotaka kutengeneza gari zisizotumia mafuta ila zinazotumia umeme Jifunzeni kupitia video hizi hapa part 1 https://www.youtube.com/watch?v=QgTpFFLOgtk part 2...
0 Reactions
3 Replies
883 Views
Wadau kwa mwenye ufahamu juu ya software ya kuweka caption kwenye image kama hiyo hapo juu anitajie tu jina au link kama itawezekana natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Here is your chance to be the star among the Developer community and win great prizes including super cool gadgets and an all paid trip to Mobile World Congress, Barcelona, Spain. Vodacom App...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Msaada Please Nilikuwa nataka ku update kwa kutumia hii CM11 coz simu yangu ilizinguaga nikapeleka kwa fundi akaiflash sasa siwezi ku update kupitia ota. Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya ku...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
jaman natafuta app nzuri kwa ajili ya kuhamisha video zangu kuwa 3gp format
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wandugu, kwenye pita pita yangu kwenye mitandao hasa hii ya online shopping, kuna baadhi ya simu kwenye description zimeandikwa 'sim-locked withot contract', nini maana yake hiyo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Android Lollipop vs Android 4.4 KitKat comparison review: What's the difference? Free Manufacturer: Google Android By Chris Martin | PC Advisor | 14 July 14 Google has announced Android...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa wale watundu wa mambo haya aka wajuzi wa android open source project.... Naomba tupeane uelewe juu ya ipi rom bora kwa Sim Kwan Kuna simu tayr manufacturers wamezitelekeza ila kwa kutumia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Watch Live Note 4 lunch event in Tanzania , follow this link Samsung Tanzania
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Nimenunua huawei Asend 530 lakini inatumia line za tigo tu na tigo inasumbua sana kwenye intenert, naomba km kuna mwenye ujuzi wa kuifangya itumie line zote.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hi wote! Jamani nisaidieni mwenzenu kwa anayejua jinsi ya ku delete contact kwenye WhatsApp mimi ninachojua ni kuweza ku delete kwenye conversation tu,lakini huku kwenye Contacts nashindwa na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NAHITAJI HITI MACHINE YENYE CAPACITY YA KUSAFISHA PICHA YA SIZE YA A4. Kama unaweza nijulisha wapi naweza pata nitashukuru, with regards,
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Hi.. nawalete feedback.. Baada ya kuplace order on 29/10/2014 the item was shipped on 30/10/2014... then ikawa fowarded to international logistic company on 4/11/2014 then leo nimetrack...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kama kuna mtu anajua kuinstall na kuprogramme LND ani pm lakini au alishawahi kufanya hiyo kazi before sehemu nyingine. Kama yupo ani pm nimuunge na mtu faster kwa deal la fasta.
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Historia mpya yawekwa baada ya wanasayansi kutoka ulaya kutua kwenye kimondo kinachojulikana 67p/churyumov-gerasimenko. baada ya safari ya miaka kumi katika anga za juu chombo cha anga za mbali...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za kazi wadau naombeni ushauri nataka ninunue system ya Hotel Online reservation kwaajili ya Hotel yetu sasa payment zilizopo katika system ni credit card na paypal. Je nawezaje ku-link...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau . Naomba ufumbuzi kwa tatizo hili.. Natumia HUAWEI Y 300 ,Kuna site flani nimeahindwa kufungua kabisa . Nikifungua inaniweka kaalama cha kufuli na page inabaki black. Site...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
kama browser yako inanesanesa na kuchelewa nenda kaguugli ,utaweza kupata maelezo ya kina ,na utaona furaha ni kwa jinsi gani broza yako inakata mbuga. kwenye firefox address bar type...
0 Reactions
3 Replies
833 Views
Back
Top Bottom