Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps, gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika kipindi cha miaka 5 kumekuwa na ongezeko la Watumiaji 16,327,131 wa Huduma za Simu Nchini kutoka 47,685,232 mwaka 2019, sawa na 88% ya Idadi ya Watu hadi 64,088,651, sawa na 101.5% ya Idadi...
1 Reactions
0 Replies
970 Views
Wadau naombeni msaada wa maelekezo, kwasasa nashindwa kabisa kushare doc za pdf, camscanner n.k via whatsap, tayari nimefanya update kwa application zote ila bado changamoto bado. Naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
371 Views
Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Matumizi ama daily usage ya mtandao wa Threads yameporomoka kwa zaidi ya 60%.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada mwenye kujua android app ya uhakika ambayo itanisaidia kudownload mp3 music au videos mbalimbali kwenye simu. Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Kama wewe ni mtumiaji wa simu za Huawei ambazo hazisupport Google Apps kama Youtube, Playstore, nk, Nimetengeneza solution ya tatizo hilo kwa kukupa app ya Youtube inayofanya kazi vizuri bila...
1 Reactions
2 Replies
948 Views
Wakuu mambo vipii Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu nimejaribu kuclone app ya Threads kutumia Flutter. Nimeweka repository kwenye github yangu 👇 🔗 GitHub - heisabdallah/threads_clone: A cloned threads app Ya kushoto ni cloned version. Ya...
11 Reactions
69 Replies
5K Views
Wakuu ni hivi mwezi wa Tano mwisho Kila nikibinya button ya kudownload inkugoba kuendelea kwenye kupakua je ni tatizo la mda mfupi au ndio mabeberu wameamua kulinda teknolojia zao
0 Reactions
6 Replies
952 Views
Habarini Wadau wote humu. Naombeni msaada nahitaji kujua simu yenye kamera inayotoa picha Bora zaidi kwa matumizi ya kibiashara. Picha inayoonesha uhalisia wa kitu na mazingira. Ili wateja wakiona...
3 Reactions
29 Replies
9K Views
Nimenunua simu ya Infinix HOT 12i hata mwaka haujaisha juzi ghafla imekufa bila kudondoka hai display chochote naombeni msaada tafadhali anayejua sababu
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimekutana na mtu ana Bluetooth speaker inaitwa Lenyes s106,ina mziki mzuri sana ni ndogo lakini ina Bass nzuri, mwenye kuzijua tafadhali, kabla sijafanya maamuzi ya kuinunua, ubora wake ukoje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Akili Bandia ya Bard ambayo inamilikiwa na Google ili kushindana na Akili Bandia ya ChatGPT imefanya mabadiliko. Google Bard imeongeza upatikanaji wake kwa lugha zaidi ya 40 ikiwemo lugha ya...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kama ulidhani kuwa Samsung Galaxy S23 Ultra na Xiaomi 13 Ultra ndio simu bora za Android mwaka 2023 basi hujaiona simu mpya inayotarajiwa kuachiwa kesho July 11 kutoka kwa kampuni ya Kichina ya...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za muda huu wajameni natumai mko salama kabisa nami ni mwingi wa afya. Baada ya salamu husika na kichwa cha uzi huu hapo juu. Dah leo app ya Azam Tv Max kwangu nikiifungua inaniandikia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Mafundi/Supplier wa Decoder ya Digitek wamepotelea wapi, mimi nahitaji ku-update software ya hiki kisimbuzi maana kimebaki na local channel 5 tu.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Heading inajieleza wana jamvi, Hawa Tigo huduma yao ya internet iko chini sana (Low siku za hivi karibuni). Yaani bando linaisha tu bila kulitumia vizuri.
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari za humu, naomba msaada wa kutajiwa TVs bland nzuri kwa bei ya laki mbili mwisho ndo bajeti yangu, nipate tv flat inayoendana na hela yangu, natanguliza shukrani 🙏🙏
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom