Natumia laptop windows 7,RAM 1024MB
Kila nikibofya video ya youtube inaanza halafu ghafla inakata na baada ya muda inacheza, kisha inakata tena.Hii imekuwa kero mpaka video za youtube...
Nahitaji msaada wa kujua reliable, affordable wireless provider company hapa dar ambaya ina coverage kubwa.
Kutaja configuration cost zake na bundles subscription itakuwa vizuri zaidi.
Anaejua...
Why is the keyboard layout Q-W-E-R-T-Y and not simply A-B-C-D-F? Why were computer keyboards designed in the current format not in a alphabetical order. Is there any specific reason or it's just...
Habarin za huku ndugu, samahan kwa usumbufu, jaman mm nna tatzo moja tu mwenye uwezo naomba anisaidie..... Nataka kujua ni mfumo/software gani wanao tumia watu wa cyber katika kumuekea mteja muda...
habari zenu wadau?'
je kuna yoyote anaejua "code" ambazo zinamsaidia mtu kujua kama simu ni original?
Mfano, Nokia {*#0000#}
Naomba msaada kwa zile simu nyingine, kwa anaejua...
Naomba mnielekeze namna ya ku unlock ALCATEL MODEM
IMEI; 867612004088039
MODEL:X230E ( nikiweka laini nyingine inanambia niweke NCK, NA NIMEBAKIZA 3TRIALS)
Wakubwa naombeni Msaada wa kujua tofauti ya Ipad na Tablet Ninaitaji kuingia kwenye ulimwengu mpya wa matumizi ya kimojawapo (tablet ua ipad)
Kabla ya hapo naona ni bora nizijue kiundani.
My first responsive website to be posted on JF
Hi,
I have bee designing dynamic websites for sometime now.Due to the change in technology more internet users will be accessing the web from their...
Habari wana jamvi naomba msaada wenu/ushauri kwa mtu ambaye amewahi / antumia hizi smart phone kati ya HTC na 4n ipi ambayo iko vizur zaid kwenye access ya net hasa sehemu zenye low internet...
Naomba msaada wa kunitajia maduka yauzayo accessories za simu kama housings, back covers, memory cards,flash disks, earphones, screen protectors etc yanayopatikana DAR au MOROGORO.
Na kama ni...
Kwa wenye ufahamu na hili suala naomba anisaidie, je kuna uwezekano wa kupata aces ya internet kupitia mitandao ya tigo au voda ukiwa nje ya nchi? na gharama zake inakuwaje?
Kwa hapa nilipo...
KONAMI wameonekana kutowafurahisha wateja wao hasa wale wanaotumia windows{pc} baada ya kushindwa kuweka DEMO kwenye game lao jipya ambalo linasubiliwa kwa hamu la pes 2015 hali hyo imetokea baada...
Kwanza kabisa nijisemee mimi,huwa naendesha gari za automatic kwa mguu mmoja[wa kulia] tu,wa kushoto naukunja au na u rest vyovyote nitakavyoona nimekaa vizuri. Kwa gari manual natumia miguu yote...
Apple has updated its App Store to show new statistics for iOS 8, its new mobile operating system. It's not looking good.
9to5Mac reports that iOS 8 adoption has increased by just 1% since Apple...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.