Wana JF
Nilikuwa natumia R Sim 9 pro for unlocking iphone 5 after upgrading to ios 8.0.2 naona haifanyi kazi tena!!! Je naweza pata R sim 9 plus au Gold kwa hapa Tz???
Msaada wenu
Natumai m wazima.
Nina laptop ya HP nimekuwa nikiitumia vizuri for the past year or so halafu ghafla ikaacha kutoa sauti na hapo kwenye icon ya sauti kuna X nyekundu na nikiweka mouse pointer...
Hellow wana jamiiforums,
Natafuta kampuni ambayo inatumia Oracle kama database yao ili niweze kujiimarisha zaidi katika eneo hili la Database, kwa sasa nimefanikiwa kuwa Oracle Certified katika...
Mtandao wa kijamii wa Ello unapokea maombi 31,000 ya watumiaji wanaotaka kujiunga kila saa moja hali ambayo inaibua ushindani mkubwa kwa mtandao wa Facebook.
Muanzilishi wa mtandao huo Paul...
1.Simu imekuwa slow pia kuna message kila mara kuwa launcher not responding.
2. Internet tigo haifunguki.. nimewapigia wamesema IMEI zangu hazipo labda niende ofisin kwao waniunganishie manual...
Wakuu
Naona tutorial nyingi Youtube sauti iko clear sana na inasikika vizzuri
Na hapa zile ambazo mtu anafanya SCREEN Recording ya Laptop yake au huku anaelezea anachokifanya
sasa nilitaka hii...
Nna hiyo simu tajwa hapo Juu ila cha kushangaza kuna baadhiya apps nashindwa kuinstall kila wakati inasema memory low inaleta error lakini uhalisia ni kwamba memory card ina space kubwa na hata...
Wadau HTC yangu inatumia EDGE kwenye upande wa network sasa kunajamaa ameniambia kuwa naweza kuibadilisha ikatumia 3G kwa kui root
Msaada wenu unahitajika kakita kufanya hii process kama inawezekana
Habari!
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza, kuna picha moja ina ujumbe murua saana nataka kuicopy niwenayo ila sijaweza icopy. Msaada nawezaje kuicopy?
Ur welcome folks!
Natumia hii simu tajwa hapo juu, naomba kuuliza wanao tumia au kufahamu tabia ya simu hii, ninapoichaji huwa inakata network mpaka niitoe kwenye chagi ndio mtandao unarudi. Msaada tafadhari.
Nimetengeneza DROPDOWN MENU kwenye website yangu kwa kutumia html na css. laikini cha ajabu kila kitu kinaenda sawa ila nikipeleka mouse pale kwenye link ambayo nimeiwekea dropdown menu hakuna...
kwa wale waliokuwa wakiikandia design mpya ya apple nafikiri walikua sahihi kwa decision yao ya kueka aluminium imezua balaa kubwa duniani kote. watu wengi kutoka maeneo tofauti duniani wanaripoti...
Wakuu poleni kwa uchovu na miangaiko ya kutwa nzima, naombeni msaada kwa yeyote anayeelewa setting ya kufanya nipate notification kama mtu akireply thred niliyoweka au kama mtu akichangia kwenye...
pitia hapa afu unipe ushauri ninunue cm gan((with a reason)) kat ya hz mbili,,
1; General Info
Manufacturer
Huawei
Motorola
Announced
January 2014
May 2014
Status
Available -...
APPLE WAZIMA KELELE ZA WAPINZANI NA IOS 8.0.2
Mwandishi Wetu
Apple wametimiza ahadi ya kutokulala mpaka kieleweke kuhusu iOS. Siku ya leo wametoa iOS 8.0.2 ambayo itasuluhisha matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.