Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wasalaam Wakuu,naulizia kwa yeyote mwenye kufahamu gharama za kufunga CCTV Camera,nina project yangu inayohitaji CCTV Camera 4.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadua nipeni maujanja jinsi ya kuichakachua hiyo modem. natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
601 Views
wakuu nina modem ya huawei e153 ya tigo ambayo nimei downgrade....... sasa spidi yake siyo kama ilivyokuwa awali hivyo basi vipi ninaweza ku upgrade modem yangu?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani waungwana ninasimu yanu aina ya acer model E320 Imepasua kioo kwa yeyote anayejua ninapoweza kupata hiyo touch na kioo naomba msaada wake wa maelekezo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf nina simu yangu ya Iphone 4 nilibadili version yake ila baada ya kuja kuwaka ikawa ina nidai ID na vitu vingne ambavyo mm nilishavisahau so natakiwa ku unlock mwenye maarifa juu ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa habari niliyoipata muda so mrefu azam tv wataanza kurusha eatv na Itv kupitia king'amuzi chao source azam tv Facebook page
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Naombeni mtaalam anayejua maujanja ya kutumia Star times Bila kulipia.Kama Upo nipm
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Habari za mchana wakuu Na laptop yangu ni DELL latitude 530. Ambayo specification zake ni Ram 2Gb , processor ni core 2 .video memory ni 64 mb iko fredh tatizo ni hiyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habari wakuu ningependa kujua bei ya lumia1320 kwa hapa bongo na ntaipata maduka gani?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamani hii system imeondoa Hotspot kwenye simu yangu msaada kwa mjuaji!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu kwa yoyote alieshawahi kufanya hii biashara atupe ndondoo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hallo wazalendo, naomba anayejua mahali naweza kupata battery ya laptop lenovo 3000 N2000. Nijulishe mahali au msaada wa kuipata pia bei yako. Nipo Uyole -Mbeya. Shukurani.
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Naomba msaada mwenzenu. Naipenda JF ila natamani kuwe na option ya kublock mtu yani post yake mimi tu nisiione. Wengine wenye kuenjoy style yake waendelee kufaidi. Inaweza kuwapo?
1 Reactions
0 Replies
739 Views
Rafiki kama nilivyoeleza hapo juu naomba mwenye software ya time watcher anisaidie nini cafe ndogo kama computer 5 sasa nashindwa kuweka kumbukumbu za muda kwa wateja na kila mteja ana saa yake...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ilianguka ikapasuka screen. still inadispaly vizuri tu kila kitu ila imepoteza TOUCH SENSE. MSAADA tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnipe ushauri.. Nataka kufungua mtandao wa habari, Nimeshajiandaa baadhi ya vifaa kama camera na tape recorder Naomba mnisaidie mawazo yenu mliowajuzi wa aya mambo, ni kipi...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Code yangu ni hii <html> <head> <script src="jquery-latest.min.js" type="text/javascript"></script> <style type="text/css" media="all">@import url("default.css");</style></head> <body> <script>...
0 Reactions
7 Replies
960 Views
guyyzz ..! msaada wenu plz nikitakata kuwa vizuri ktk maswala ya kuflash na ku unlock simu modem n.k nini nifanye (na software gan nzuri ?) au computer iwe na spesifiation zpi?
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Prof John Nkoma, TCRA Managing Director Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA) intends to scrap the time limit condition enforced by telecommunication firms on subscription bundles...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Data Bundle zao hizi hapa Speed zao hizi hapa
0 Reactions
57 Replies
10K Views
Back
Top Bottom