Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Guys, nina idea ambayo nikiifikisha mezazi kwa management ya whatsup, I am sure 100% hawachomoi, kwanini whatsup tu? nimeona ndo inatumika sana compare na other application... nafanyaje ndugu...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Inawezekana tayari ukawa unayo lakini si vibaya pia kushare na ambao hawana version hii.Kwa maelezo mafupi hii ni intergrated version ya IDM ambayo inaweza kufanya kazi na version mpya za browsers...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
NEW YORK (CNNMoney) In one of the most ambitious product launches in its history, Apple unveiled two new iPhones, a smartwatch and a mobile payments platform on Tuesday. The iPhone 6 and iPhone...
2 Reactions
103 Replies
10K Views
IOS 8 imetoka nadhani leo ina vitu vingi sana compare na IOS 7 Apple iOS 8 preview: Opening Up GSMArena team, 24 July 2014. Apple iPhone 5s specs Apple iPhone 6 Plus specs Comments...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina HP Probook 4431S nataka kuongeza processor yangu from i3 to i7, Watu wa IT hii inaweza kunigharamu sh ngapi hapa Dar. Na ni sehemu gani niende tafadhali? Thank you all.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Japanese consumer electronics giant Sony has said it expects to record much bigger losses because of its struggling mobile business. For the full year to March 2015, Sony now expects a full year...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF ni matumaini yangu wote mpo fresh kabisa. Wakuu nimenunua 1TB hard drive kwa ajiri ya my 4 year old desktop computer na nataka kuibadilisha hii desktop kuwa WEB SERVER. Dhumuni langu ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu msaada nawezaje kusoma thread za zamani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada. Nina picha katika mfumo wa IMG hazifunguki nikitumia Photo Viewer niliyonayo. natumia Window 7. Napata message: Windows Photo Viewer can not open this picture - naambiwa hai...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani habari na poleni kwa majukumu. Nime download application kwenye cm angu inaitwa DSTV online sasa naomba kuliza juu ya kutumia hii app maswali yangu yapo. Je naweza kuangalia mpira live...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu, kwa anayejua wapi naweza kupata service parts na spare parts za Volkswagen Touareg hapa Tanzania. (VW dealer in TZ?)
0 Reactions
14 Replies
6K Views
KUpitia Ukurasa Wao Wa Facebook na Website Yao Intel Wameintroduce Aina Mpya Ya Chip Inayoenda Kwa Jina La ''Intel® Core™ M Processor'' Processor Hyo Itakua Inatumika Kwenye Computers Na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi JF, Nilitaka kujua utofauti wa unlocked and locked smartphone na ni ipi inafaa ukitaka kununua.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu..habari zenu naombeni msaada wenu tafadhali which is the best processor between core i5 and 2.20GHZ dual?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba mnisaidie kuondoa huu ushamba. Huwa Natumia PC Na simu Lakini Nasikia Watu Wengi Wakizungumza Mambo Ya App .Sasa App Ni Nini?
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Wakuu habari zenu, Mwenye link itakayoniwezesha kupata stock rom ya HTC sensation naomba anisaidie .
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Poll results – Apple hardware disappoints A few days ago we asked you to chime in with your personal opinion on the hotness of the trio of Apple products revealed this week. Your votes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba msaada nitumie program gani kuzigawa ps2 games ambazo ziliwekwa kwa pamoja katika flash!! na njia yakuzigawa! natanguliza shukrani!
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Habari wanajamvi, Km kichwa cha habari kinavyoeleza, mwenye uelewa anielekeze jinsi ya kuupload video hapa jukwaani. Nawasilisha.. Kontelo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mi nina sim tecnop5 nataka kuiroot. Nitafanyaje na nitajuaje kama iko tayari rooted?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom