Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kwa mimi nisiye kuwa na uelewa wa maswala ya tuvuti , nilipata ujumbe kwenye hiyo picture sasa ckuelewa
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wadau! Wajameni naombeni niulize kuhusu hizi simu labda kwa alie nunua au aliekwisha zitumia vipi kuhusu uwezo wake kiinternet ukoje mana nataka kununua moja kwa matumizi yangu ya...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimeibiwa Samsung GALAXY Note 10.1, nilikuwa sijafanya kitu chochote je inawezekana kuwa retrieved ? na series IMEI Ninavyo Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Habari zenu wanajamvi ! Nina desktop IBM model 830781U nina tumia windows xp sp3. Cd/dvd drive haionekani kwenye my computer kila nikiweka cd haiplay. Mwanzo ilikua inafanya kazi vizuri baadae...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Jamani mwenye ujuzi kidogo na simu, galaxy s4 imeji blok, mtoto kachezea pattern nkiiwasha inaniambia nweke email na passwod na mimi pass word sikumbuki jamani. Naomba kama kuna mtu anakumbuka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Kama hardline ilivyojieleza, kama kuna mtu anajue app yoyote ya kuweza kuhifadhi. Mfano picha, video & miziki ili niweze kuformat memory card yangu please nisaidie maake...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jaman habari zenu? Nilikuwa naomba kama kuna yoyote anyeajua ni software gani zinahtajika kuunlok na kuflash device mbalmbal km simu modem nk.anambie nina diploma ya it nataka nijikite kwenye hii...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Nimeambia Torrent lakini nimeshindwa msaada plz ! Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Geeks, nimenunua simu tajwa hapo Tigo, ila lugha yake nahisi itakuwa either Polish or Swedish. Sasa naomba mnielekeze how to reset it into English. From the"Setting" icon to the end. please?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
:llama:Msaada jinsi ya ku unlock simu za vodafone 875
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hellow JF!! Modem za tigo zile za mwanzo mwanzo zinachakachulika kwa urahisi sana, So unaponunua modem ni bora ujue unanunua ipi ya zamani au ya sasa!!! ok tuanzee tuache longo longo Tatizo...
1 Reactions
36 Replies
17K Views
Naomba msaada jins ya kuapata screen shoot kwenye cm angu huawei y 330 ascending plz na je ina uwezo wa kuwa na hiyo kitu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi there, Nime design website for my client na ku develop into XHTML/HTML, mimi nimeshazoea kufanya kazi za website kwa kutumia drupal CMS, joomla, wordpress, moodle and most of open source CMS...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Kwema ndugu? Kuna hii concept ya iCloud Lock. Nini maana yake na simu yenye hali hii huwa vipi? Na je hii huwa na tofauti gani na carrier Lock? Nauliza swali hili na pia naomba msaada wa...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Mtu mwenye file la ramani ya Tanzania ama ya Afrika Mashariki kwa ajili ya Garmin Navi GPS anisaidie
-1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nimepata tatizo kila nikiweka modem za Kampuni yoyote (TIGO, VODA na AIRTEL) kwenye laptop yangu inanipa ujumbe kuwa "the device driver software was not successfully installed"...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nafikiria kununua decoder ya TV but najiuliza nichukue ipi maana hawa wanaotumia antenna (star times digtec....)wapo baadh ya maeneo na wana picha nying za ndan, pia signal zao sio nzuri saaana...
0 Reactions
29 Replies
11K Views
Wadau nimejaribu kutumia dashboard mbalimbali lakini inanigomea na haipo kwenye list ya modem zinazoweza funguka kwa dc-unlocker
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi JF, Natumia simu aina ya SAMSUNG GALAXY DUOS GT-S6102, kwasasa iko slow sana katika kopakia (loading) na mara nyingi kuna ujumbe unanionesha ni up-date simu yangu. Naomba msaada nifanyaje...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau mimi si mjuzi sana wa mambo haya nadhani chief mkwawa atasaidia code *#0283# zitakupa details
0 Reactions
23 Replies
42K Views
Back
Top Bottom