Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
mwanzon haikuwa hvo.na pia apps ninazo install kama whatsapp hazitokei kwenye display (shotcut) ila ukienda file manager unaziona ila huwezi kutumia.ukiiclick kuna option ya uninstall tu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Poleni na majukumu ya kila siku, naomba msaada wa ku unlock avg ant theft kwenye simu yangu. Niliweka hii program muda mrefu kidogo, Leo nimejisahau nikabadili line ya simu ikajilock, Nimejaribu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo vp wakubwa? Kwa mara nyingine tena nahitaji ufafanuzi kuhusiana na jambo hili, eti kuna softwire za kuformat memory card za simu?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada mwenye serial keys za Typing Master Pro
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Habari yetu wana jamvi (mughonile mwe bhakamu bhangu, twamasiku ming). Tusisumbukie lugha hiyo lugha niipendayo kinyakyusa nikijaribu kuwajulia hali. Leo nimekuja na maada ningependa tuifanyie...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
mi binafsi nikiinstall windows hii ndo list ya apps and softs zangu 1.avast antivirus 2.bit torent au u torents(kwa kudownload torrent) 3.bsplayer(kuchek movie,uzuri wake ukiplay movie isiyo na...
2 Reactions
123 Replies
18K Views
Kuna simu ya android aina ya vinus v8. Simu hii ilikuwa imefungwa kwa pattern kuna mtu alichora mara nyingi wakati hajui mwenyewe alifunga kwa mchoro gani, matokeo yake simu ikajifunga ikawa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau salamu, natafuta chaja na mp3 player kw ajili ya kutumia kwenye gari,nimekuwa nanunua hizi za barabarani zinakufa baada ya week tu. Mwenye kujua duka au anaeuza tafadhali nijulishe.,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wana jamvi. Naomba msaada kwa mwana jamvi yoyote anayeifahamu kwa undani simu ya Maxwest z5. Je! ni simu nzuri in general ?. kweli ikiwa mpya kwenye box inaweza fika 950,000 pesa za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habarini wakuu a) Msaada naomba kusaidiwa ni namna gani naweza kuunganisha internet katika computer zaidi ya 20, je kuna njia ipi mbadala itakayorahisisha jambo hili ? kwani nataka kufungua...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani nifanyaje ili niweze kusoma gazeti la the sun la uk bila kulipia mtandaoni? na limiss sana tangu walipo anzisha mtindo wa kulipia.msaada jamani mwenye utaalam wa kuchakachua.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeanza kutumia facebook na mitandao mengine mingi ya kijamii kama vile instagram, hi5, mocospace etc kipindi sasa. ila tatizo linakuja wakat nataka kutumia mtandao wa twitter, huwa sina mzuka...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wadau, nahitaji msaada wa marekebisho ya brightness katika laptop HP. Nimejalibu kila njia, mwanga haupungui japokuwa mshale wa kupunguza na kuongeza unatembea lakni mwanga haupungui...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
kwa anaefaham jinsi ya kutoa password kwenye memory card bila kuflash mana sikumbuki nliweka password gan jamn.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanajamvi hivi kupitia dish langu la satelite naweza kupata chanel yoyote inayoonyesha ligi ya brazil?msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je kuna software ya kunisaidia wakati wa ku shoot live nitumie zaidi ya camera moja na hizi camera niziconnect kwenye PC ambayo ndio itakuwa na hiyo software and then hiyo projector nii connect...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilikuwa naskia meng kuhusu kutengeneza umeme kutoka chooni. Sizungumzii gesi ni umeme wa dc Mwenye uelewa plz.
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Jamani hivi ni mimi tu ndo nina experience hili tatizo au tupo wengi? I thought speed imeongezwa up to 3.75g. What's going on? Any reasons?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Pole na majukumu wana JF, Namini msada wenu kwangu Ni mkubwa sana na nitaendea Kuuthamini Nahitaji kuhifunza Kuroot,software nk Niko tayari kumfuata popote alipo kwa zanzibar hata iki bidi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina Computer ana ya Dell yenye window xp ilikuwa na kespersky 2013 nikaunstall il niweke kespesky 2014 kila nikijaribu kuinstall inaniletea sms hii " error occured during installation of...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom