Nimejaribu na zinatoka lock, nina muda mrefgu sijatembelea JF nilikuwa analogia wadau sijui kuna solution mmeshaweka ama niiweke maana nijije nikawa narudia ambacho kimesha fanywa
Hello wapendwa, kuna ndugu yangu mmoja alinunua simu kariakoo yenye thamani ya 240,000 nokia lumia akapewa guarantee ya miezi 6 alipofika nyumbani akaicharg ikawa haijai kabisa zaid ya masaa3...
Habari za sahizi wana JF hapa ninapoishi tupo watu wa nne na kila mtu anamatumizi ya kawaida tu i.e taa fridge na subwoofer Lakini cha ajabu umeme wa 20000 unatumika siku nne tu tatizo linaweza...
simu yangu inanisumbua sijui tatizo maana nikitumia pen inafanya kazi vizur lkn nikijaribu kutumia hands haifanyi kazi kiboard.
Msaada please maana hata msg siwez andika.
Nimejaribu ku configure SMS Gateway hii HAPA kwenye android phone yangu ili niweze ku forward sms kwenda kwenye webservice ya application yangu (web based application)
Nimejaribu kutuma sms...
Simu inawaka na kutumika inatumika ila ukienda menu inaandika
The aplication samsung home
(process com.sec.android.app.twlauncher) has stopped unexpectedly.
please try again.
msaada wakuu
Habari ma-GT wote wa jukwaa hili pendwa?
Hope mko safi, ipo hivi: kuna simu nimeletewa from US aina ya Samsung Prevail ya virgin. Sasa katika kutaka kuweka line nikaona haina sehemu ya line...
Greetings my fellow people I am anonymous.. and hereby releasing my latest tool as stated in the title.. Tigo package hack v 1.0... this has been coded by me and it is working like a charm...
Baada ya kuchoshwa na mshike mshike wa foleni natarajia nijikabe mhindi akinipa mshahara wangu mwisho wa mwezi nione kama nikijichanga changa naweza nikanunua angalau Boxa.
Sina utaalamu wowote...
Wadau natumia Alcatel tajwa hapo juu. Battery yake ni ya 1500mAh. Je naweza kupata battery yenye mAh kubwa kuanzia 2000 na kuendelea? Maana ya kwangu nikiwasha internet hata saa 12 haziishi. Ila...
Waungwana wanajamii naomba msaada kwa yeyote anaejua duka linalouza sensor aina zote jijini Dar es salaam anijuze kwani nazihitaji sana..
Asanteni kwa ushirikiano
Kompyuta yangu ni windows 7 professional. Mojawapo ya majukwaa ninyopendelea sana ni Jamii Photos. Inatokea nataka kuweka avatar ya mdau kwenye jamii photos. Ninachofanya ni kuisave hiyo avatar...
Habari wakuu. Mim ni mdau na mteja wa mda mrefu wa huduma za DSTV , lakini kwa muda wa kama miezi mi3 iliyopita uchumi wangu umeyumba mpaka nafikiria kutafuta njia mbadala ya kuuza king'amuzi au...
Habari za leo wanajamvi? kama kichwa habari kinavyojieleza, najua kuwa kuna watu wa taaluma na exposure tofauti za OS mbali mbali.
Concern yangu kubwa kwenye hii posti ni kutaka kujua upatikanaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.