Naomba kujua kwa watumiaji wa Google pixel 7 pro,pamoja na wadau wenye uelewa wa hii simu. Je, nawezaje kuitambua kama ni simu original?
Je Kuna test ambazo naweza kuzifanya kutofautisha copy na...
Habari ya wakati huu wadau wa taknolojia. Nina shida na pixel 3xl yangu, nilikua naitumia Vizuri ghafla ikaniandikia there is no sim card though nimeweka sim card, nikarajibu kutoa Line na kuweka...
Habari zenu wana JF, tumaimai mko vyema. Mie swali ni kuhusu kupokea mzigo, ukiwa umefanya order kutoka Aliexpress kuja Tanzania hasa Zanzibar mzigo unapokelea wapi?
Ahsante
Ninaandika ujumbe huu kwa nia ya kutafuta fursa za ajira katika mambo ya VFX, modeling au architectural design.
Mimi ni mtaalamu mwenye ujuzi katika maeneo haya na ninatafuta sehemu ninayoweza...
Habari wakuu:
Niende moja kwa moja kwenye mada;
Kwa kufahamu kuwa kuna watu wanatamani kujifunza Programming language bahati mbaya hawana kompyuta hivyo inapelekea kukata tamaa na kuishia njiani...
Kutokana na simu yangu Sasa kuzingua technically nataka nirudi kwenye vitochi mpaka uchumi wangu utakavyoamua vinginevyo. mnanishaurije ipi button nzuri ambayo inauwezo wa internet ya kuchungulia...
Wakuu salamu,
Nimejaribu kununua bidhaa Ebay kwa kutumia Paypal nashindwa kabisa kulipia.
Inaleta kitu kama hiki chini.
Lakini siwezi kuproceed na Payment.
Any idea kwa mtu aliyefanya manunuzi...
Naam pesa taslimu Tsh. 300,000/= ipo nahitaji kupata simu used kutoka mtumiaji wa Tanzania achana na hizi used from Dubai.
Leta ofa yako tufanye biashara 🤝🏽
Kampuni hiyo inayomilikiwa na Mfanyabiashara Elon Musk imetangaza kuweka kiwango cha idadi ya Tweets utakazoona kuanzia leo Julai 1, 2023. Waliolipia 'Twitter Blue' wataweza kusoma hadi Tweets...
Wakuu habarini nmekua interested Sana nakujaribu Jambo fulan online lakin kbla ya yote nmekatishwa tamaa na HIZI online payment method
PAXUM
CHECK
COSMO
CRYPTO CURENCIES
nilikua nataka kufahamu...
Habari za muda huu wadau, kama kichwa kinavyojieleza, nataka kujua iwapo kama kuna namna ya kutumia akaunti moja ya uwakala wa simu mf. Tigo Pesa, M pesa, Airtel Money n.k na kuweza kutumia kwenye...
Nilipoteza namba yangu ya voda kabla haujaingia mfumo huu wa sasa wa kusajili kwa NIDA na kuthibitisha. Baada ya huu utaratibu kuanza ikawa imepewa mteja mwingine.
Natamani niirejeshe iwe yangu...
Naomba msaada wa jinsi ya kuboresha application yangu ya android. Niliiunda kwa uziefu wangu na kuuliza marafiki wenye uzoefu biashara lengwa. Niliifanya iwe na functions muhimu tu kwa mwanzo. Ila...
Vipi unasema umeona Kila kitu kwenye hii Dunia basi nakuambia Kuna maajabu ujawahi kuyaona bhana
Kampuni ya MSCHF imetengeneza begi dogo zaidi ya Punje la Aragwe Yani sio poa [emoji16]
Begi ni...
Apple Toka kuanzishwa kwake mpaka Leo imefanya mapinduzi mengi ya Teknolojia lakini Leo nitakuambia kuhusu usalama wa vifaa vya apple kwa mwaka 2024.
Apple ni Kampuni yenye nguvu sana ulimwenguni...
Habari.
Mtaalamu wa kutengeneza lesson plan forms ambazo walimu wa shule X watakuwa wanajaza online na kuweza kuprint (PDF) tafadhali tuwasiliane. 255621538913.
Pia inaweza ikawa application...
Off course vpn za kutumia internet bure zina faida zake ikiwemo kuokoa gharama na nikiri niliwahi kuwa mdau lakini kuna kipindi nilichoka aisee, ilibidi nizihame moja kwa moja.
-siku yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.