Zamani ukitaka kununua memory za computer kama hard drive(hdd) na ram tulikuwa tunaangalia tu ukubwa jinsi inavyokua na gb nyingi ndio jinsi unavyoinunua na kuipenda, ila siku hizi mambo...
Baada ya 3DM na wengine kuangukia pua kwa denuvo, steampunk wamekata utepe, FIFA 17 PC wamei crack, japo bado kuna bugs bila shaka mambo yote yatawekwa sawa na wabishi hawa.
Download links FIFA...
WELCOME TO INTRAGRAPH SMART PLANT V P&ID 11. 0.0.0907 (2019)
Smart plant Intergraph P&ID is vastly different from graphic-driven P&ID solution today. In this software the Latest Version allows...
Naomba msaada wenu katika hili . Je tatizo litakuwa ni Nini haswa? Maana charge percentage ipo above 90 lakini haiwaki endapo nikiichomoa kwenye uememe.
Habari wakuu?
Niende moja kwa moja kwenye mada, nilikua nahitaji smart watch halisi, isiwe fake, lakini pia iwe na mwonekano mzuri, namaanisha isiwe ndogo sana. Mkinisaidia Aina ikiambana na...
Habar wakuu natumia sim ya Redmi ila sioni sehemu autorotate maaana sim inasumbuasumbua inajirotate rotate Kila mda ..inanifanya kutokua comfortable namatumizi nayo
Wakuu,
Naomba tusaidiane kitu katika uchumi je Afrika ni miongoni mwa bara la watu wengi ambao tunaishi below our means na pia watu wapo chini katika uelewa ikiwemo hata kuandika na pia...
Kwenye harakat za 'Kusaka tonge' Nikajikuta nimedondokea nchini Burundi..Hapa nchini burundi mambo ni rahisi sana sasa napata EXPERIENCE ya ile kauli ya Waziri kuhusu kuhamia burundi kama maisha...
WhatsApp tricks are ways which can help you to use WhatsApp messaging App like a Pro. WhatsApp has become one of the most popular instant messaging apps, used by billions of people around the...
Nina Bajeti ya 1.5M kwa ajili ya TV 55" na 1M kwa ajili ya Music system.
Lengo niviweke Master Bedroom.
Naomba pendekezo la options ambazo sitajutia.
Kwenye TV preference zangu ni true color...
Umechoka tabia ya kuchaji simu mara tatu kwa siku ? Unajua akuna anayependa kumiliki simu afmbayo haikai na chaji.
ni muhimu kuokoa maisha ya betri kuondokana na mambo ambayo yanaweza kuleta...
Nina ps4 , Version yake ni 9.00,
Binafsi kwenye games ni mpenzi wa mpira tu, mfano Fifa.
Sasa Je, kibongo bongo
A. Nicheze game original ?
B. Niichipu niwe naenda kuingizza games kwenye...
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu...
Habari ya muda huu wadau.
Naomba msaada mwenye kujua , nina simu samsung galax note 8 imetokea tu nachage inajaa nikichomoa kwenye charger inazima nikiweka kwenye chager ikaiwasha inawaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.