Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu ni saidieni hii simu inajirestart yenyewe hasa baada ya kutumia kwa muda fulani
0 Reactions
6 Replies
411 Views
Zamani ukitaka kununua memory za computer kama hard drive(hdd) na ram tulikuwa tunaangalia tu ukubwa jinsi inavyokua na gb nyingi ndio jinsi unavyoinunua na kuipenda, ila siku hizi mambo...
12 Reactions
35 Replies
13K Views
Baada ya 3DM na wengine kuangukia pua kwa denuvo, steampunk wamekata utepe, FIFA 17 PC wamei crack, japo bado kuna bugs bila shaka mambo yote yatawekwa sawa na wabishi hawa. Download links FIFA...
1 Reactions
44 Replies
13K Views
WELCOME TO INTRAGRAPH SMART PLANT V P&ID 11. 0.0.0907 (2019) Smart plant Intergraph P&ID is vastly different from graphic-driven P&ID solution today. In this software the Latest Version allows...
0 Reactions
1 Replies
589 Views
Wakuu kwema, Natafuta simu Kwa bajeti hiyo, ikizidi sana 250. Simu Gani nzuri? Nilikuwa nawaza hapa kati ya Samsung A03 au Infinix 12i ipi nichukue? Mwl.RCT
1 Reactions
68 Replies
10K Views
Habari. Kati ya Instagram na facebook ni upi mtandao mzuri wa kuweka matangazo ya kulipia?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wenu katika hili . Je tatizo litakuwa ni Nini haswa? Maana charge percentage ipo above 90 lakini haiwaki endapo nikiichomoa kwenye uememe.
1 Reactions
14 Replies
481 Views
Wakuu msaada wa site ninayoweza kuitumia kudownload Korean Drama
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu? Niende moja kwa moja kwenye mada, nilikua nahitaji smart watch halisi, isiwe fake, lakini pia iwe na mwonekano mzuri, namaanisha isiwe ndogo sana. Mkinisaidia Aina ikiambana na...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Habar wakuu natumia sim ya Redmi ila sioni sehemu autorotate maaana sim inasumbuasumbua inajirotate rotate Kila mda ..inanifanya kutokua comfortable namatumizi nayo
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba tusaidiane kitu katika uchumi je Afrika ni miongoni mwa bara la watu wengi ambao tunaishi below our means na pia watu wapo chini katika uelewa ikiwemo hata kuandika na pia...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Kwenye harakat za 'Kusaka tonge' Nikajikuta nimedondokea nchini Burundi..Hapa nchini burundi mambo ni rahisi sana sasa napata EXPERIENCE ya ile kauli ya Waziri kuhusu kuhamia burundi kama maisha...
19 Reactions
34 Replies
3K Views
WhatsApp tricks are ways which can help you to use WhatsApp messaging App like a Pro. WhatsApp has become one of the most popular instant messaging apps, used by billions of people around the...
2 Reactions
0 Replies
746 Views
Nina Bajeti ya 1.5M kwa ajili ya TV 55" na 1M kwa ajili ya Music system. Lengo niviweke Master Bedroom. Naomba pendekezo la options ambazo sitajutia. Kwenye TV preference zangu ni true color...
0 Reactions
5 Replies
813 Views
Umechoka tabia ya kuchaji simu mara tatu kwa siku ? Unajua akuna anayependa kumiliki simu afmbayo haikai na chaji. ni muhimu kuokoa maisha ya betri kuondokana na mambo ambayo yanaweza kuleta...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina ps4 , Version yake ni 9.00, Binafsi kwenye games ni mpenzi wa mpira tu, mfano Fifa. Sasa Je, kibongo bongo A. Nicheze game original ? B. Niichipu niwe naenda kuingizza games kwenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo , naomba msaada wa namna au site za kudownload app za Bure za Computer. zile ambazo zipo cracked
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari ya muda huu wadau. Naomba msaada mwenye kujua , nina simu samsung galax note 8 imetokea tu nachage inajaa nikichomoa kwenye charger inazima nikiweka kwenye chager ikaiwasha inawaka...
0 Reactions
5 Replies
456 Views
Habarini wakuu, Kwa bajeti ya laki 3 na 20, naweza kupata simu ya aina gani? Kigezo cha kukaa na chaji ni muhimu sana. Natanguliza shukrani
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom