Uber itaanza kuweka matangazo katika app zake mbili, app ya Uber ambayo inatumika kuita usafiri (gari, bajaji, pikipiki n.k) na katika app ya Uber Eats. Watumiaji wa app hizi wataona matangazo...
Hivi unajua simu yako inaweza kukurahisishia kufanya mambo mengi kwa haraka najua wengi walikua hawajui hii.
Kwenye simu Kuna kitu kinaitwa action & Gesture kazi yake ni kukusaidia kukurahisishia...
Kama kawaida mlinzi msomi nisiye na hiyana.
Nilipanda bajaji mwaka 2021 nikasikia jambo, nami nikadadisi kidogo. Nikafanya kama nilivyoambiwa.
Ukiwa na smart phone mbili , yako na ya mwenzi wako...
Tumeona feature nyingi zikitoka mwaka huu 2023 kwenye WhatsApp wanazidi kuendelea kufanya vyema sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia.
WhatsApp wanakuja na feature mpya ya kuweza kurahisisha mambo...
𝗠𝗮𝗮𝗷𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗧𝗲𝗹𝗲𝗴𝗿𝗮𝗺 𝗯𝗼𝘁𝘀
Toka kuanza kutumika 2013 telegram ni app ambayo inatumiwa na watu wengi sana ulimwenguni kwani ina mambo mengi mazuri na ya kushangaza ambayo ukiyajua utaacha kutumia...
Habari za wakati huu,
Thread zangu napenda kuziweka huku sababu pako active kuliko majukwaa mengine.
Naombeni msaada wa code, nahitaji mtu fulani akinipigia nisipatikane, simdai hanidai ila...
Ikitokea umeibiwa simu uliyokuwa unatumia Je unatakiwa kufanya nini ? Najua kuibiwa kitu chako kipya au ulichonunua kwa Gharama yoyote ile inauma sio poa.
Uzi ni wenu wapwa si unajua Teknolojia...
Ndugu wanajamii nimepata mchongo la saba mimi ambao unahitaji niwe vizuri kwenye hayo niliyoyataja hapo.sina komputa ya kusema nitajifunzia ndo maana natafuta mtu ambaye anadesktop anipige msasa...
Ndugu wadau wa WordPress, binafsi namiliki website niliyoitengeneza kwa WordPress kwa muda wa miaka miwili sasa. Siku za hivi karibuni nime experience tatizo la kushindwa ku "save" pale...
Nimefanikiwa kuibadilisha website yangu kuwa Mobile App inayofanya kazi kwenye Android & ios devices. Nimetumia Flutter kulifanikisha hili.
Hii ni project niliyofanya mwanzo wa mwaka huu kwa...
Hivi unajua kwenye simu zetu unaweza kumchagua mtu awe mrithi wa simu yako ikitokea umekufa ataweza ku access baadhi ya taarifa zilizopo kwenye simu ? Najua wengi hawajui hii.
Kwenye simu zetu...
Wakuu kwema? Habari za muda huu. Naombeni msaada wenu juu ya hili.
Nawezaje kutengeza zile Megamix, Mfano nyimbo 50. Yani ile playlist moja tu. Niki-Play zinapiga hadi basi.
Huwa naona lakini...
habarin, mwenyw ujuzi na printer aina ya Xerox ubora wake na ufanaji kazi wake kama nimzuri naomba ushauli wake maana nahitaji kununua this wiki japo kuna mtu kuna mtu kanimbia garama zake za wino...
Tunaelekea kwenye ulimwengu wa Ma game Duniani ?
Apple wametambulisha teknolojia mpya ya AR headset baada ya miaka mingi kupita. Apple imetambulisha kifaa kipya cha kuvaa machoni kinaitwa Apple...
Jamani nahitaji kujua kuhusu uimara kuhusu epso l382 je inadumu,vipi utendaji kazi wake uko poa? Kabula sijainunua nahitaji ushauri kutoka kwa wajuzi wa haya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.