Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wanajamvi leo ndio nimeona utofauti wa nguvu kati ya ic tajwa hapo juu. Tukianza na F4558 hii op amp ni ya kawaida kwa maana haina saut sana kama utaitumia na 4558jrc hii op amp ina saut...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi? Ninayo projector NEC VT695 ambapo nikiinganisha na kisimbusi inaonesha picha B&W. Nikiiunganisha na PC inaonesha picha colored. Naomba mwenye kujua tatizo au ninapokosea...
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Hivi ni kwanini watu hawapo serious namna hii? Hebu angalia hii website ya kampuni kubwa tu hapa Tanzania: Masumin Printways and Stationers Ltd
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau wa teknolojia.. napenda kujua nini kinachokwamisha kwa tv stations zetu za ndani kuja kwenye mfumo wa HD?? JE ni gharama kuja kwwnye mfumo huu?? Sisi tumeitikia kwa nguvu na kununua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
jamani naombwa kujuzwa kama kuna app yoyote ile ya android itakayoniwezesha kupanga namba zilizo changanywa ktk mtiririko maalum mfano namba zimechanganywa hivi 9,6,4,3,2,1, nikiwa na hiyo app...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu Poleni na Majukumu Nina kasimu nimenunua miezi miwili sasa kamepasuka kioo nitapata wapi huku Arusha? Ni simu aina ya Huawei P6
0 Reactions
12 Replies
3K Views
msaada nimesahau passcode kwenye cmu yangu xaxa kuna uwezekano wakuirudishia ios 6.1.6 ndiyo iliyo kuepo nafkr
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Nahitaji kununua internal hdd ya pc yangu imezingua hdd inakataa kuingia win yeyote baada ya kucrash.Ni Toshiba sat c850 f22u.NAOMBEN USHAURI NI HDD IP NZUR KUNUNUA.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini. Nina tatizo na laptop yangu. Nilikuwa na-install program Fulani katika laptop yangu ya HP G62. Katika kui-restart ikawa inachukua zaidi ya dk 20. Yaani iliganda, hivyo nikajaribu...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Je inaluhusiwa mtukutengeneza kifaa chakuzalisha umeme ambacho hakitumii kitu chochote yan more automatically
0 Reactions
13 Replies
6K Views
SOURCE: http://blog.laptopmag.com/best-worst-laptop-brands-2014/3 How We Graded (100 points possible)We gauged laptop brands across 8 categories: reviews, tech support, design, keyboards &...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
simu yangu imeniandikia NO COMMAND..imemuweka yule robbot wa android. nimejaribu kuirestore from sdcard imeshindikana coz sikuwa na backup yyte kwenye sdcard. msaada nifanyeje iweze kuwaka bd ni...
0 Reactions
1 Replies
817 Views
Jamani nashindwa kurecover data kutoka kwenye hard disc ya laptop yangu. kila nikijaribu kufungua inasema DO YOU NEED TO FORMAT YOUR HARD DISK? naomben msaada kama kuna namna yeyote ya kupata data...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajuzi wa mambo, nimekwama nahitaji kuflash Samsung note 1 na stock rom ila sifahamu ni firmware ya region gani inafaa, simu haiwaki mpaka mwisho kwa hiyo siwezi access hata dialer ili niingize...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nimewatafutia madesa kidogo yahusuyo umuhimu wa backup. Mniwie radhi kwa kuto pata muda wa kutafsiri hiyo lugha ya kimombo. Nawasihi msijisikie uvivu ku google kwamba mtafanya kwa jinsi ipi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau katika blackberry bold 2 9900 naomba kujua kama ina support firefox.......nipeni maujanja wadau.naomba kuwasilisha. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Hi technology ppl I found this online tech magazine wich has hard hitting and up to date tech news. DailyTech. Please share with member wich websites do you visit to get informed on...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hi everyone, nahitaji kununua blog ambayo ipo ina run tayari... about news and udaku... contact me 0713774746
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii cm cjui ina tatizo gani kuna muda inapata joto sana au inashake maandishi mpaka utoe betri na uwashw ndio inawaka tena shida onaweza chilua hata dakika 30 .tatizo nini wataalam naomba msaada...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kuuliza kama kuna njia yoyote ya kufanya setting ya port forwading kwenye hizi modem za usb.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom