Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau anayejua jinsi ya kuroot techno p3 msaaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello guys I used to visit http://www.bongoclantz.com website for local news and gossips. but for a week now, the site has completely changed from its contents to theme. Is the site hacked? some...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji akaunti kwa ajili ya matumizi ya kibiashara, ni vizuri ikiwa na transaction history (hasa iwe imepokea pesa nyingi), iwe verified. Tunaweza kuongea uniuzie uondoe card yako uliyoattach...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wakuu,computer yangu aina ya Hp Probook 6455b imeharibika chanzo ni adapter iliungua nikabadilisha baada ya ku2mia adapter ingine PC iligoma kupeleka moto nikajaribu kutoa betri bt soon...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
wanajamvi naombeni ushauri nifanyaje, maana nmejaribu kuweka cd za mp3 , vcd zinasoma fresh, na pia nkabadili lens mpya bado inafanya ivo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wadau, naomba kufaham hii app ya clean master inatumikaje na ni ya nn kwenye simu? Mara nyingi nkiwa natumia mtandao nakutana na ujumbe kama simu yangu inakata chaji haraka bas nidownload...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Habari wandugu!? Binafsi nimekuwa na kawaida ya kupoteza simu mara kwa mara kutokana na mfumo mzima wa shughuli zangu na kusahau sahau ovyo. Hivyo ningeomba kama kina mtu anafahamu apps yeyote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wanajamvi najua humu kuna wataalamu wa PCM na mambo mbalimbali. swali langu ni kwamba namba za viatu zinafanyiwa calculations vipi ? kiasi kwamba mfano namba 43 ni sawa na namba 9. nimejaribu...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Ndugu wana JF nimeipata hii kutoka kwa rafiki yangu nimeona ni vema ku-share nanyi, na hasa wale wenye interest na mambo haya karibuni. Take time in the evening on 1st August and 6th August to...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nimekuwa nikijaribu kurekodi vipindi kutoka kwenye dekoda lakini inakuja kwa mfumo wa PVR FORMAT, mfumo huu wa file hauko supported kwenye PC na sijui ni aina gani ya media Player inaweza...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
WAKUU HABARI ZENU...nina samsung galaxy note 2,sasa inaandika No services baada ya IMEI kupotea ghafla.nikijarbu kuangalia IMEI inaandika null/null IMEI mwenye kuweza kunisaidia wakuu. thanks.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yeyote anayejua jins ya kufanya master reset kwenye nokia e72 bila security code anisaidie maana ninahitaj kui restore lkn nmesahau security code ....
0 Reactions
0 Replies
471 Views
NIMEONA KWENYE MENU YA TIGO WAMEANZISHA NAO UNLIMITED PACKAGE VIFURUSHI VYAO VIPO HIVI 1 Day Unlimited = 999Tsh 2 Week Unlimited = 6000Tsh 3 Month Unlimited = 20,000Tsh 4 3 Nights Unlimited =...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Naomba mwenye ufahamu anieleweshe kuhusu package za DSTV kwa Tanzania bei zake na idadi ya chanel zilipo ikibidi hata list ya hizo chanel. Pia kama kuna link ya hizi taaarifa zote waweza kushare nami.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari Nilikua naomba kwa mwenye softewr ya data recover anisaidie coz nimejaaribu nyingibza kwenye net zinaitaje serial number. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
711 Views
jamani wana jamii Forum mimi hizi DVD za kibongo kila nikiweka kwenye Deck yangu ya Laptop zinakuwa HIDDEN yaan hazisomi lakini nimejaribu mautundu fukani nkajua kuwa kuna software flani ivi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nimekua nikirekodi tv programmes kutoka kwenye decoder yangu. Changamoto imekua kuzicheza kwenye pc, zenyewe zina extension za mts. Ni player gani naweza kutumia au converter?
0 Reactions
0 Replies
427 Views
habar wakuu? na2mia pc aina ya hp, tatzo lake kubwa ni netwok niki connect modem inakaa baada ya muda kama dk 2 hv kisha inaji disconnect yenyewe na bando lipo la kutosha sijajua tatizo n nin...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Msaada comptuter yangu inatengeneza shortcut folders msaada... bila ya kutumia cmd..
0 Reactions
14 Replies
2K Views
heshima kwenu wadau WA technologia........ naombeni msaada wenu WA jinsi ya kuinstall whatssap kwenye tablet ya android ya kampuni ya accer. nimejaribu kuingia pale kwenye play store lakini plae...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom