Mwenye kujua namna galileo inavyofanya kazi tafadhali anijuze, ikiwemo configurations zake (i.e IPCS address and other connections). Na je hii application inahitaji license au ni free.
Naomba...
habari zenu wana jf..
nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii!
ilianza tatizo hili...
naomba msaada nataka kujifunza computer programming ila sijui nianze na lunguage ipi, maana zipo kiba, je ipi ni bora zaidi kwa mtu kama mimi sina background yeyote katika PC progmm language?
Wakuu hii flash imegoma kusoma kwenye pc,ukiscan yale mafail yanaonekana yakiskanika na inaonekana kabisa kuwa yamejaa kwny flash ila ukiopen unakuta empty.
C6 CHIEF MKWAWA MWONGOZN WENU
Nimepoteza huawei ascend g510.
Sikumbuki akaunti ya gmail ya simu ile bt nina imei no.
Any help please it contain many vital information.
Please!
Sijalala nasubiria notification ya sim change...
Kuna mtu ameniomba nim-recommend the best state of art laptop with top specifications and high performance.
Pia ameomba nim-recommend the best smartphone with greater specs, high performance na...
Wakuu nina tatizo ku initialize hilo game linaishia ku display logo then haliendelei. game nimeli download jana na kila nikifungua halifunguki ila zinatokea crush dumb error messages nimejaribu...
msaada wakuu..kuna galaxy note 2 hapa haiwez ku acces mtandao inaandka no service. Na kwa upande wa IMEI nikijarbu inaleta null IMEI. msaada wakuu jinsi ya ku solve hili tatizo.
Thanks.
SuperSport will become simulcast from Tuesday, 12 August 2014. This means that Standard Definition (SD) and High Definition (HD) channels will display on the same channel number.
Channel 201...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.