Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kuna mtu ana iphone sasa anataka kurestore ili aondoe information za aliyekua anatumia lakin anaogopa kwamba inaweza kumdai apple id au pamoja na password ambazo yy hazijui sasa afanyaje?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, Nimeingia muda huu kununua Wajanja Night nikakuta kuna kifurushi kimeongezeka. Unalipia Tsh 1000 na unajipatia unlimited internet access. Sijapata kufahamu hiki kifurushi ni exclusive kwa...
3 Reactions
138 Replies
18K Views
Hizi software ndio zinaaminika katika mpango mzima wa ku-track WhatsApp. Stealth genie Mobile spy Mobistealth Mspy Spy bubble Swala lililopo ni kwamba zinapatikana lakini mpaka ununue...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
habari wanajf, samahani ninashida moja kubwa HAPA, ni kwamba cd yangu niliyonunua sambamba na tv tuner yangu WinTV-PVR-150 Multi-PAL PCI TV Card - 26589 LF Rev F945 imepotea lakini tuner...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar za ijumaa tulivu wadau naombeni mnisaidie, nina software ya idm ambayo niikuwa naitumia lakini kwa sasa inaniambia imeisha muda wake na hivyo inatakiwa serial number, nimejaribu kutafuta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wataalamu wa jukwaa hili naomba kupata ufafanuzi kuhusu kuendelea kuitumia laptop ukiwa umechomeka waya wa kuchajia umeme (adaptor) kwa ajili ya kuchaji betri hata kama betri imejaa je, kuna...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
mssada jamani nitumie software gani pakua vitu online kwasababu natumia IDM ila ina nizingua serial key nina version tatu zote zina serial keys zake lakini nikiinstall nikiweka na serial key...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nahitaji kuflash moderm ya Smile itumie line zote naombeni msaada wenu wakuu maana nimejaribu kutumia clack ya Huawei ila imeshindikana!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf, msaada anajua kuupgrade tecno p3 km inawezekana tujuzeni..jmn.
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Wakuu.Nina mpango wa kununua hii simu ila sina uzoefu nayo sana.Nimegoogle spcs zake lakini kwa kweli zingine zijazielewa. Naomba kwa mwenye uzoefu na simu hii tafadhali anisaidie hasa weakness...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Nafungua computer nikiweka pacwod inagoma na kuleta SMS kwamba your profile service can not be loaded,kwenye utaalamu wa tatizo Hilo plz
0 Reactions
0 Replies
567 Views
kwenu wakuu, nina laptop yangu aina ya acer, ambayo mwanzo nilikuwa naangalia youtube fresh ila nilimpelekea jamaa mmoja akaniongezee software flani flani, baadae kaniwekea na idm kaniambia naweza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wadau nimeanza kuitumia hii simu kama miez miwil iliopita sema tatizo lake ina stuck sana hasa nkitaka kupiga simu pia siwez kusave vitu moja kwa moja kwenye sd card tatizo ni nn...??
0 Reactions
5 Replies
965 Views
Kwa kweli mim ni mdau mkubwa sana wa hii simu ambayo inaongelewa sana na inatajwa kuwa ni kati ya simu bora za mwaka huu lakin nashangaa upatikanaj wake hapa bongo umekua ni mgumu sana kama kuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wandugu.kama heading isemavyo hapo juu. Nimenunua simu inayotumia OS ya windows. Ishu imekuja nataka kuweka ringtone za miziki yangu ila sioni pahala pa kuanzia! Nimehangaika weee hadi basi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wadau poleni na majukumu naomba kuuliza je naweza kuzi format hizi simu zinazouzwa na Tigo HUAWEII Y 530 na kama inawezekana ni wapi naweza pata Huduma hii na Malipo yake yakoje asanteni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nina tab yangu Galaxy Note, nilikuwa natumia whatsapp kwa line ya Voda. Baada ya kubadili line na kuweka airtel , whatsapp imekataa kufanya kazi. Nime uninstall na ku install tena lakini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jaman natumia samsang mini galaxy nauliza aplication ambayo ntadownload video,audio na pia photo editing nzuri.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu Nina computer 3 aina ya DELL optiplex 760, zinasumbua sana ukiwasha zinabaki kuwaka taa rangi ya orange. Marekebisho yake inatakiwa kubadili motherboard. Kama kuna mtu yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kwa yeyote anaefahamu jinsi ya ku-unlock modem za zte k-3772-z. Nimetokea kuipenda kwani ina speed nzuri ila tatizo ni laini moja tu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom