Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wana Jf naomba msaada namna gani ya kupunguza email kwa goggle account nimeambiwa zimejaa nimejaribu kudelete lakinj bado naletewa meseji ya kujaa na kupewa tahadhali yabkutopokea tena...
1 Reactions
5 Replies
206 Views
Niaje wakuuโ€ฆ Ni hivi, ni rahisi kujifunza syntax za programming language yoyote ila shida kubwa ambayo inawasumbua watu wengi ni namna ya kubadili hizo concept na kuziweka kwenye mfumo...
1 Reactions
0 Replies
158 Views
Hello bosses. Kwenye technology yoyote ile kwa sasa kuna watu muhimu sana ambao wengi hawawafahamu bali wanaishia kuona maajabu yao tu, watu hao sio wengine bali ni COMPUTER PROGRAMMERS au...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua app au mfumo wa ku connect smartphone moja kuwa mic na nyingine ichukue video km unafanya interview. Mfano kwenye picha nime screenshot hapo chini
2 Reactions
9 Replies
328 Views
Wapwa habari ya jion boss mkubwa majizzo amatoa sound zake zinaitwa jizo sound nimesikia zimeanza kuuzwa pale palm village Je Kwa mliotembelea shop pale vipi Bei yake ipoje na pia sound yake ipo...
2 Reactions
18 Replies
864 Views
๐—๐—”๐—ฃ๐—”๐—ก ๐—œ๐— ๐—˜๐—ฅ๐—จ๐—›๐—จ๐—ฆ๐—จ ๐—ช๐—”๐—ง๐—”๐—™๐—œ๐—ง๐—œ ๐—ž๐—จ๐—จ๐— ๐—•๐—” ๐—•๐—œ๐—ก๐—”๐——๐—”๐— ๐—จ Dunia na maajabu yake!! ๐Ÿ‘‹ Nchini Japan mwaka 2019 waliweza kupitisha Utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kuumba Wanadamu. Mfumo huo...
1 Reactions
1 Replies
139 Views
Kama kawaida hope mko poa Mimi napenda sana programming na nina baadhi ya projects nimesha zi develop Za desktop, mobile, na web based systems. Nimesoma chuo ila nilikua based on...
11 Reactions
23 Replies
920 Views
Habari zenu wakuuโ€ฆ Naomba Leo tuongee kuhusu mambo haya ya programming, kwa maana watu wengi huwa wanahisi programming ni ngumu na hii yote ni kutokana na kutokujua msingi na dhima ya programming...
4 Reactions
14 Replies
451 Views
Kipindi nilikua napata mda wa kuwa free nilikua nafanya project ya kutengeneza ecommerce application, mpaka sasa naona imekamilika baada test za hapa na pale https://voxmart.co.tz/
3 Reactions
2 Replies
137 Views
Mimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu...
29 Reactions
98 Replies
11K Views
Kwa sababu hiyo app ndio inasababisha simu za iphone zionekane ni mbovu kwa sababu ya kufunguliwa mara kwa mara, kwaajili ya kubadilisha battery unakuta fundi kwa bahati mbaya amekanda mikanda Na...
4 Reactions
8 Replies
394 Views
Wakuu naomba kw a yoyote alie wahi kutumia poket wifi y halotel unlimited, kwani muda wowote ule nitakwenda kununua naomba ushauri kuhusu speed yake, shukran wakuuu
1 Reactions
1 Replies
222 Views
Wakuu kwema Nafundisha Programming kwa bei rahisi saana nafundisha language zifuatazo. 1.PHP 2.JAVASCRIPT 3.HTML 4.CSS 5.REACT NATIVE IN DEEP DOWN 6.EXPRESS JS 7.LARAVEL IN DEEP DOWN...
5 Reactions
18 Replies
854 Views
Wataalamu,nilikuwa nauliza inawezekana kutengeneza mfumo kwa kutumia WordPress kwa ajili ya kuplace order! Unahizi functionalities! โ€ข Wafanyakazi wa ofisi wanaweza kuweka maombi(order...
4 Reactions
13 Replies
320 Views
Hope mko poa. Now days mambo yamekua marahisi sana tuna autosourcing nyingi za kujifunza ila tatizo ni kuchagua Luga sahihi kwa mda sahihi Sasa leo nataka nikuandike lugha za kujifunza ...
1 Reactions
15 Replies
538 Views
๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐Ÿฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—น๐—ฒ๐—ผ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ Kwenye page ya @picabuzz , katika siku chache zilizopita walifanikiwa kunasa picha nzuri yenye kupendeza wakati wa siku baada ya kuona sayari zote ziliweza...
3 Reactions
27 Replies
715 Views
sold
0 Reactions
17 Replies
507 Views
Wakuu wana Tech Nilinunua shamba 2019 ekari 12 Sasa kuna wahuni ninaopakana nao naona kila nikienda nakuta wamehamisha mpaka hata nikipanda miti wanangโ€™oa na kuisogeza shamba linazidi kupungua tu...
0 Reactions
12 Replies
433 Views
Salaam, Nawaza, Je naweza kuungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari? Lengo ni kuongeza hiyo speaker kwenye idadi ya speaker za gari. Msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
166 Views
Baada ya kuona review kadhaa nimeona nifungue account ds. Sasa Code niliotumiwa nikiingiza inasema invalid code. Nimejaibu mara ksdhaa bado imegoma. Baadhi ya system huwa code no ikigoma huwa...
0 Reactions
5 Replies
454 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ