Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau habari zenu .. heading ni console nafahamu wapenzi wa video games mpo aware na hii kitu. Personally nimepitwa kushoto na hii kitu japo nimekuwa interesting now days na hio kitu, kuna mambo...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari wakuu, tangu jana nimekuwa nikijaribu kufanya malipo kadhaa online kwa kutumia kadi za Mastercard bila mafanikio, Mwanzoni nilikuwa natumia kadi za mitandao ya simu hola, ikabidi nitumie...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
habari zenu wakuu naomba kwa mwenye ujuzi wa namna ya kufungua visa card ya tigo pesa anisaidie nimekwama kidogo asante.
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Tafadhali naomba mwenye kujua kuweka profile picture ktk angle nzuri. Nime-upload profile picture upwork ila imekaa horizontally badala ya vertical sijajua kwa nini. Hakuna rotation angle option...
0 Reactions
3 Replies
343 Views
SCREEN SIZE Makampuni ya utengenezaji wa simu kama Iphone ,samsung, Xiaomi n.k yanaanza kuzingua kwa utengenezaji wa simu wenye vioo vikubwa vya simu mpaka inasababisha mtumiaji kukerwa...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari wana-jamvi Najua kuna watu wengi wanapenda kujifunza Electronics designing;wale walio choka ku-copy na ku-paste already made design;na hivyo wangependa wao wenyewe wabuni vya...
8 Reactions
38 Replies
16K Views
Hello Wana Technology wa kutengeneza tangazo la Biashara kwa kutumia hii mitandao ya kijamii. Nina bidhaa zangu za HARDWARE ningependa kutangaza. Kama kuna mtaalamu tuwasiliane please...
3 Reactions
5 Replies
483 Views
Huu ndo mfumo wa sayari achana kupitia attachment, achana na huo ambao unaouona kutokea NASA A- sun Jua haina umbo la duara kama tunavyoaminishwa, kwa lugha nyingine hakuna star yenye umbo la...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Watu wengi husema China iko mbali kiteknolojia na mimi pia niliamini hivyo lakini swali la kujiuliza ni kwa nini teknolojia kama ChatGPT haikuvumbuliwa China na badala yake sasa makampuni ya...
5 Reactions
59 Replies
4K Views
Unahitaji kutizama mpira kupitia simu yako. Leo nakuambia njia rahisi ya kuweza kutizama mpira live kwenye simu yako kati ya Yanga Vs Usm final ya kimataifa Zaidi Hii ni Zaidi ya UEFA ya...
0 Reactions
4 Replies
786 Views
Je Kuna ishara gani zitatokea kuonyesha kuwa simu yako inafuatiliwa [emoji116] Kuna baadhi ya ishara zikitokea Kwenye simu jua kifaa chako kimeathiliwa na virusi , kimekua hacked ivyo upelekea...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau habari za jioni. Samahanini kwa usumbufu, mwenzenu nimekumbwa na changamoto moja Nilinunua king'amuzi cha dstv lakini cha ajabu duka niliponunulia waliniomba kwamba makarai(dish) ya dstv...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Android kila mara wanazidi kuwa imara sana tutegeme feature mpya Kali amazing zitakuja kwenye simu zetu za Android kuanzia version 14 1) Notification flashes Kwenye Android 14 utakua na uwezo wa...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello bosses and roses.... Nahitaji Apple Mac mini m1, kwa anaeziuza au anaefahamu zinapopatikana hapa Tanzania naomba anijulishe. Note: inahitajika ikiwa mpya sio USED Ahsante
0 Reactions
6 Replies
536 Views
Kila siku watu wanaongelea simu kutoka brand hizi tu mara Samsung, iPhone, Xiaomi. Lakini wanaacha kuziongelea Nokia. Kuna baadhi ya simu za Nokia zinavutia Ninachopendea kwenye hizi simu ni...
15 Reactions
78 Replies
9K Views
Nimeshangaa jion hii nafungua GB Whatsapp nakutana na hii msg! Nini hiki wadau?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Whatsapp wanataka kuleta feature ya 𝘂𝘀𝗲𝗿𝗻𝗮𝗺𝗲 kwenye akaunti zetu, itaweza kumruhusu mtumiaji kuchagua unique username yake ambayo itakua official kabisa. Kwa sasa hii feature ipo Kwenye...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
NAMNA YA KUKOKOTOA NGUVU YA PANGABOI WIMA LA KUKOKOTWA NA UPEPO. Kukokotoa pangaboi linalokokotwa na upepo unahitaji kujua vitu vikubwa viwili Nguvu ya upepo iliyopo na Ufanisi wa pangaboi...
3 Reactions
5 Replies
882 Views
Habari. Msaada wakuu wapi naweza kupata kifaa tajwa iwe ni Kwa kukodi miezi miwili au kununua. Muhimu sana. Nipo Dodoma Kwa sasa for three months
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Back
Top Bottom