Habari wakuu,
Laptop tajwa hapo juu inasumbua sana kwenye upande wa Mouse yake yaani inajibonyeza yenyewe pale ambapo unaigusa ili kwenda kubonyeza sehemu fulani uliyoikusudia.
Unapojaribu...
Wakuu hamjambo?
Niende kwenye mada.
Kuna sauti fulani ya kushutua naiskia kwenye freezer hasa linapojizima.. Shida yaweza kuwa nini?
Nimegoogle nimekutana na gurgling noise na rattling noise...
Mmiliki wa Mtandao wa Twitter, Elon Musk kupitia ukurasa wake wa Twitter ametoa taarifa kwa watumiaji wa mtandao huo kuwa, watumiaji waliothibitishwa na alama ya Twitter Blue (Twitter Blue...
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza mazungumzo kwa ajili ya ujenzi wa satelite.
Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Mei 18, 2023 katika uzinduzi wa mradi wa minara ya...
Dear Jamii Forum Members,May I take this opportunity to introduce to you Migration Solutions Canada (MSCI)
MSCI is an accredited and Canadian Government authorized and licensed Immigration...
Hasa kwetu tunaotumia vifurushi vya kupima kwa ndonya vyenye kikomo cha GB, Hivyo kwetu GB hizo ni mali.
Binafsi kwenye Pc nimeipata hii software ya Net Traffic, ni kasoftware kadogo tu kana KB...
Nachokijua kuna baadhi ya social media sites na platforms zilizo na kitufe cha 'delete account' pale mtumiaji anapohitaji. Mfano social media za facebook, twitter na instagram
Kuna social media...
Kwa simu tofauti na laptops nimefanya hii ishu na nimekosa jibu, hata Nikitumia router au modem nayo ni hivyo hivyo.
Nilidhani ni janja janja za mitandao labda kuna vitu vyao ila nishajaribu line...
Mambo Vp wakubwa
Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata cover za hz simu redmi note 7 au redmi 10x pro 5g kwa hapa dar au hata nje ya dar maana nimetafuta hadi bas asee[emoji17]
Je ww ni software Engineer ( Developer ) / IT lakin una kaz na wala ujapata ajiri . Ni text dm tuyajenge .
I need:
1. Web developer ( full stack developer with good design skills )
2 . App...
Kwa mtu aliesoma kitabu hicho chini naomba title. Nimekiokota mtandaoni chapter moja tu, hakina title book.
Nimevutiwa nacho ninahitaji title na mwaandishi ili niweze kukidownload. Thanks
Mwenye kujua app ya kubadili sauti wakati unapiga simu mfano kama no mwanaume uweze kibadilisha sauti isike kama ya kike au kama MTU amekariri sauti yako ashindwe kuitambua.
𝗝𝗶𝗻𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗮𝗰𝘁𝗶𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝘆𝗮 𝗼𝗳𝗳𝗶𝗰𝗲 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗸𝗼𝗺𝗽𝘆𝘂𝘁𝗮 𝘆𝗮𝗸𝗼
Je umekua ukisumbuka kufanya office activation kwenye kompyuta yako ? Baada ya kufanya installation ya office kwenye kompyuta umekutana...
Habari wakuu!
Mwenye stock firmware ya Tecno W3 build number W3-H806A1-M-160721V30 inayofanya kazi naomba. Nimejaribu kupakua mtandaoni hazifanyi kazi
Shukrani
Habari developer, mimi sipo vizuri sana kwenye coding lakini nashukuru angalau napata uelewa mpana kila siku
Sasa nataka nianze kutumia visual studio ide, balaa ni hizo component baadh...
Kuna Mambo mengi yamejificha ya Siri kuhusu simu zetu tunazozitumia lakini atuzifahamu hivyo tunazichukulia poa sana simu bila kujua.
Hivi umeshawahi kujiuliza ukifuta vitu kwenye WhatsApp...
Habari!
Kupitia thread mbalimbali ambazo wadau walianzisha kuhusu gaming niliamua kununua Playstation 3 used ili nami niweze kufurahia baadhi ya games mpya.
Mara ya kwanza ilikuwa poa tu...
Airtel Customer Care WhatsApp Number
Vodacom Customer Care WhatsApp Number
Tigo Customer Care WhatsApp Number:0675-100-100
Halotel Customer Care WhatsApp Number: 0620100100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.