Windows 8.1 Update 1 will fix several issues present in Windows 8.1 operating system and will also bring many new features to the operating system such as new power options on Start Screen...
Wadau wa jukwaa hili naomba mnisaidie. Hawa jamaa wa beinsport jana hawakuonyesha baclays priemium league je ndiyo wamekimbia kama wala jamaa wa gsport?
Habari zenu wana JF, Leo nakuja na njia mbadala ya kutunza vyeti vyetu tumekuwa tukisikia kila siku kwenye radio au kusoma magazetini watu wamepoteza vyeti vyao na ni vyeti muhimu sana katika...
wanajamvi, mimi ni mzoefu wa kurepair radio kwa miaka 5 sasa, lakin kuna kitu ambacho uwa kinanichanganya sana ktk hiz IC tajwa hapo juu, maana jana nilikuwa narekebisha sub woofer nkakuta mchina...
Kuna 'program' yoyote inayoweza kunirudishia photos,notes na folders zangu zilizopotea baada ya kuifanyia computer yangu formating,nimejaribu kuzi-search kupitia kwa windows search bila...
Jana usiku nilikua nasikiliza kituko kimoja cha redio hapa nchini nilishangazwa na jambo hili,
Spika moja ya kushoto nilipata matangazo ya redio kamakawaida ila Spika ya kulia nilipata matangazo...
Poleni na shughuli za kulijenga Taifa wanajamiiforum.Naomba kwa anayejua jinsi ya kufungua (kutengeneza) page katika mitandao ya kijamii atuelekeze. Pia nashindwa kuiweka picha hapa jf baada ya...
Waweza tumia hii appl. Kuwa na windows 2 katika pc moja. Hii appl inabeba windo nyenyewe, na ina ram yake yenyewe na unauwewo wa kuonge hhd ktk appl hadi tb. Ukiangalia picha hii itakupa mwongozo
Ninatumia Dell D510, niliinunu ikiwa na window Xp nikaipiga windows7 ultimate ikakubali ila ikaanza tabia nikiingiza flash vyote vilivyopo ndani yake vinageuzwa kuwa shotcut nikaamua kuirudia...
wakuu naombeni uzoefu wenu kuhusu simu tajwa hapo juu, nataka kuinunua, kwa anayeifahamu anipe uzoefu wake katika suala zima la chaji, network system na ubora kwa ujumla
Sasa unaweza kuperuzi usiku mzima ukijiunga na bundle zetu za Night Unlimited.
Ukiwa na Tsh 450, unapata kifurushi cha Night Surfer 1GB na kwa Tsh 900 unapata kifurushi cha Night Surfer 2GB...
wataalam wa haya mambo naomba ujuzi wenu mimi na wengine tusiojua juu ya hii kitu.
shida yangu kubwa nataka nitengeneze website ambayo mtu lazima ajisajili ndipo aingie ndani na kuona mambo...
Nilifungua akaunti yangu ya facebook kwa kutumia namba ya simu .Baada ya kutumia hii akaunti kwa muda nikaangalia profile yangu nikakuta wameniwekea email adrress yao ya ki facebook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.